MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,757
- 48,404
Tatizo ni Wazungu wakishawachanganya bongo zenu mnaami everything. Kwani hii mitishamba tunayotumia sio sayansi? Hivi hujui hii mitishamba ndio wazungu unaowaabudu wanayoitumia ktk sayansi yao in otherways? Badilisha mtazamo ninyi wakenya la sivyo mtapata tabu sana
Sayansi sio wazungu, nenda shule ukapate darasa nini maana ya sayansi, acheni vikombe vya babu. Mnatia huruma sana huko kwenu.