Rais Uhuru Kenyatta: Tanzania na Kenya zikishirikiana pande zote zitashinda

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
uhuru.jpg

Rais Uhuru Kenyatta amesema ikiwa Kenya na Tanzania zitashirikiana, ushindi utakuwa wa wananchi wa Nchi hizo mbili. Amesema Mataifa hayo yajiona kama Nchi ambazo zinashindana hazitaweza kupata Wawekezaji wakubwa

Ameeleza kuwa, Wananchi wa Mataifa hayo wakijiona kama ndugu na kushirikiana badala la kushindana, pande zote zitashinda akiongeza, "Hatuna lolote la kushindana"

Amesema hayo Nairobi wakati akizungumza katika Kongamano la Wafanyabiashara ambalo pia limehudhuriwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
 
Vry true!

Ni wakati sasa Tanzania tuache hizi mentalities za uoga uoga na mawazo kwamba kazi/fursa zetu zitachukuliwa..... Tuingie front tupambane kama walimwengu wengine!

In Tanzania we have everything we need to succeed and conquer East, Southern and Central Africa!
 
Sometime you have to protect mwenye nguvu kidogo until awe na uwezo wa ku compete na wenye uwezo...Nyerere aliwahi kusema huwezi muweka bondia wa Uzito wa juu na uzito wa kati on the same ring unless.

mama asipo liwekea mkazo hili Uchumi wa Tanzania utaendelea kushikiliwa na mataifa ya inje ikiwemo Kenya...na ktk hili ht takwimu zinatusuta.

Call it selfish or whatever you wana call it bt hisani inaanzia nyumbani. Otherwise tutaishia kua waajiriwa kt uchumi wa inchi yetu wenyewe..
 
Tanzania tuwe makini na Wakenya Ni wajanja sana
Sana...nimefanya kazi na wakenya...
Jamaa wapo so selfish sana even to themselves, jamaa kukugeuka kwenye deal ni dk 0 tu.
Msikilize Rostam hapa utajua why Tanzania ina wawekezaji wachache kenya ukilinganisha na wao huku kwetu...

 
kipindi hicho tulikuwa kwenye ugomvi. that means hata akiwekeza kule ugomvi ukianza anaweza kusulibiwa tena kwasababu hatujui kama tutaishi vizuri siku zote cha muhimu nchi hizi mbili ziache ujinga wa kukomoana kwa kupiga wafanyabiashara.

Tanzania tumeumia sana kwenye issue ya unga wa ngano na gas vilipigwa marufuku kule, na mahindi. sisi pia tuache kulipizana kisasi.
 
Sometime you have to protect mwenye nguvu kidogo until awe na uwezo wa ku compete na wenye uwezo...Nyerere aliwahi kusema huwezi muweka bondia wa Uzito wa juu na uzito wa kati on the same ring unless.

mama asipo liwekea mkazo hili Uchumi wa Tanzania utaendelea kushikiliwa na mataifa ya inje ikiwemo Kenya...na ktk hili ht takwimu zinatusuta.

Call it selfish or whatever you wana call it bt hisani inaanzia nyumbani. Otherwise tutaishia kua waajiriwa kt uchumi wa inchi yetu wenyewe..
Kwa wawekezaji wa ndani serikali imefanyaje kuwapa incentives za kushindana? Habari za Nyerere na ujamaa zinatusaidia nini kwenye modern world?
 
Sana...nimefanya kazi na wakenya...
Jamaa wapo so selfish sana even to themselves, jamaa kukugeuka kwenye deal ni dk 0 tu.
Msikilize Rostam hapa utajua why Tanzania ina wawekezaji wachache kenya ukilinganisha na wao huku kwetu...


Nimemuelewa sana Ndugu Rostam Azizi. Kenya kuna issue ya ufisadi na red tape, hilo linawafanya wawekezaji kupata ugumu katika shuguli zao. Ni bora Rais Kenyatta apate Ujumbe huu maana ataishi akilaumu marais wenzake kwa kutompa ushirikiano wakati yeye mwenyewe analea vibaka serikalini. Issue yako ndugu ya kusema wakenya wapo selfish, ni maoni yako tu. Mbona pia Tz kuna baadhi ya watu selfish ajabu. Uki generalize unakua umekosea.
 
Back
Top Bottom