Rais Uhuru Kenyatta akutana na Rais Joe Biden wa Marekani

Tony254

JF-Expert Member
May 11, 2017
16,017
16,427
Rais Uhuru Kenyatta amekutana na rais Joe Biden wa Marekani huko White House. By the way rais Uhuru kwenye mambo ya diplomasia yupo vizuri sana. Katika miaka tisa ambayo amekuwa mamlakani, amekutana na rais wote watatu wa Marekani waliokuwa madarakani. Amekutana na rais Barack Obama ambaye alikuja Kenya kwa safari ya siku tatu. Obama alikuwa rais wa kwanza wa Marekani kuja Kenya. Kisha rais Uhuru alikutana na rais Donald Trump katika white house huko Marekani. Sasa rais Uhuru amekutana na rais Joe Biden katika white house huko Marekani. Kwenye suala la diplomasia sidhani kama kuna rais yeyote hapa Africa anayemkaribia rais Uhuru Kenyatta. Congrats Mr. President Uhuru kwa kutuweka kwenye map.
 
Rais Uhuru Kenyatta amekutana na rais Joe Biden wa Marekani huko White House. By the way rais Uhuru kwenye mambo ya diplomasia yupo vizuri sana. Katika miaka tisa ambayo amekuwa mamlakani, amekutana na rais wote watatu wa Marekani waliokuwa madarakani. Amekutana na rais Barack Obama ambaye alikuja Kenya kwa safari ya siku tatu. Obama alikuwa rais wa kwanza wa Marekani kuja Kenya. Kisha rais Uhuru alikutana na rais Donald Trump katika white house huko Marekani. Sasa rais Uhuru amekutana na rais Joe Biden katika white house huko Marekani. Kwenye suala la diplomasia sidhani kama kuna rais yeyote hapa Africa anayemkaribia rais Uhuru Kenyatta. Congrats Mr. President Uhuru kwa kutuweka kwenye map.
Yaani kwako Diplomasia ni kukutana na Raisi wa Marekani. Hizi tabia za kwenda kupiga magoti kwa wazungu kuomba misaada muache. Yaani wala hakuwa na mwaliko bali ni yeye mwenyewe aliomba kukutana na Biden.
 
Yaani kwako Diplomasia ni kukutana na Raisi wa Marekani. Hizi tabia za kwenda kupiga magoti kwa wazungu kuomba misaada muache. Yaani wala hakuwa na mwaliko bali ni yeye mwenyewe aliomba kukutana na Biden.
Huwezi kukutana na rais wa Marekani bila yeye mwenyewe kukualika. Wacha ujinga wako wewe. Hakuna rais yeyote anayeweza kujipeleka white house bila mwaliko kutoka rais wa Marekani.
 
Huwezi kukutana na rais wa Marekani bila yeye mwenyewe kukualika. Wacha ujinga wako wewe. Hakuna rais yeyote anayeweza kujipeleka white house bila mwaliko kutoka rais wa Marekani.

It was unsolicited presidential visit.
 
It was unsolicited presidential visit.
Trust me, mama Samia pia alienda Marekani mbona hakuenda White House kuona Biden unsolicited? Unadhani white house ni choo unakwenda tu bila kupewa invitation? Kama ni hivyo si basi kila African president angekuwa anakwenda white house jinsi anavyopenda?
 
Trust me, mama Samia pia alienda Marekani mbona hakuenda White House kuona Biden unsolicited? Unadhani white house ni choo unakwenda tu bila kupewa invitation? Kama ni hivyo si basi kila African president angekuwa anakwenda white house jinsi anavyopenda?
Wewe una ujinga mwingi sana, baadhi ya maraisi wa Afrika wanajitambua, hawana muda wa kwenye kupiga magoti au kwenda kupiga picha na wazungu. Mama Samia ni raisi kama Biden na hakuwa na jambo lolote la kutaka kuongeza na Biden.
 
all i want to know is about the trade deal....i hope in the next 24months we get a clearer picture
 
Rais Uhuru Kenyatta amekutana na rais Joe Biden wa Marekani huko White House. By the way rais Uhuru kwenye mambo ya diplomasia yupo vizuri sana. Katika miaka tisa ambayo amekuwa mamlakani, amekutana na rais wote watatu wa Marekani waliokuwa madarakani. Amekutana na rais Barack Obama ambaye alikuja Kenya kwa safari ya siku tatu. Obama alikuwa rais wa kwanza wa Marekani kuja Kenya. Kisha rais Uhuru alikutana na rais Donald Trump katika white house huko Marekani. Sasa rais Uhuru amekutana na rais Joe Biden katika white house huko Marekani. Kwenye suala la diplomasia sidhani kama kuna rais yeyote hapa Africa anayemkaribia rais Uhuru Kenyatta. Congrats Mr. President Uhuru kwa kutuweka kwenye map.

Hapana si Africa tu sema duniani no no sema ulimwenguni hakuna rais anayejua diplomasia kama uhuru. Hata biden kamualika uhuru ili ajifunze toka kwa mkenya diplomasia.
 
Wewe una ujinga mwingi sana, baadhi ya maraisi wa Afrika wanajitambua, hawana muda wa kwenye kupiga magoti au kwenda kupiga picha na wazungu. Mama Samia ni raisi kama Biden na hakuwa na jambo lolote la kutaka kuongeza na Biden.
Uongo mtupu. Kama angealikwa najua angekimbia sana. Hata angesahau viatu nyuma. Hakuna rais wa Kiafrika asiyetaka kualikwa white house.
 
Hapana si Africa tu sema duniani no no sema ulimwenguni hakuna rais anayejua diplomasia kama uhuru. Hata biden kamualika uhuru ili ajifunze toka kwa mkenya diplomasia.
Jameni? Kwa nini uzi huu unawafanya watanzania kububujikwa kwa wivu namna hii? Mnapost mambo ya kiwivu sana. Mmechafuka roho kujua kwamba Kenya inaheshimika huko nje kushinda The Republic of Lazyland. Poleni, mtapona tu.
 
Poa sana, pale White house huwa hairuhusiwi kwa kila kajamba, lazima wakukague influence yako kwenye bara lako. Kwa sasa hapa Afrika rais Uhuru ndiye mwenye turufu.
 
Jameni? Kwa nini uzi huu unawafanya watanzania kububujikwa kwa wivu namna hii? Mnapost mambo ya kiwivu sana. Mmechafuka roho kujua kwamba Kenya inaheshimika huko nje kushinda The Republic of Lazyland. Poleni, mtapona tu.
Tunawaelimisha ila nyie ni vichwa ngumu, sio kila raisi wa Afrika anashoboka na wazungu. Tulikuwa na akina Mugabe, Gaddafi etc walikuwa vyuma haswa.Pia ujue Kenya anapigana vita vya Marekani hapo Somalia, kwenda kutoa taarifa vita vinavyoendelea ni muhimu.
 
Back
Top Bottom