REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Ndio wanavyojidanganya eti hapo hakuna ulinzi 😂😂😂Mbona ili ni jambo la kawaida sana?
Hata Jakaya niliwahi kutana naye Ocean Road mwaka 2008 akiwa anaendesha mwenyewe, na hakuna mtu angemgundua maana gari lilikuwa na Plate number ya kawaida, alafu wakati anarudi kutoka anakotoka ndipo akasimama kumsalimia jamaa (Mr Salu wa IFM)
Kwa Uhuru Kenyatta yeye anaenda mpaka mazingira hatarishi zaid kuna sehem inaitwa Kayole kuna wahuni wengi anaenda mpaka huko, cha msingi uwa anabeba mpunga wa kutosha,
Hivyo hata Magufuli hamjakutana naye akiamua anatokea huko Nyuma anaenda zake,
Mbona kuna kipindi walinzi walimzuia kutokea geti la mbele, akawa mjanja akarudi nyuma kama anaokota okota uchafu mara huyo kaibukia kwa Wavuvi, akaanza kupiga nao story, baada ya Muda wale jamaa kugundua ndo wakaanza kufurika kuleta ulinzi,
Mara Nyingi huwa ni scenario za kutengeneza maana hawa marais huwa wana watu wao kwamba ntaenda sehem, we unaona hakuna ulinzi kumbe umeimarishwa sana, usije thubutu hata siku moja kukutana na president akiwa mwenyewe ukafurahi kwamba umepata nafasi ya kutimiza unalotaka , utakufa kabla ya siku zako
Britannica
Si ajabu Lane nzima hiyo yakawa ni magari ya secret service tu,akitaka kuprove asogelee hilo gari kwa nia ovu ndio Atajua hapo yupo peke yake au sio.