- Thread starter
- #41
britanicca hivi umetuona wote humu ni watoto wa la nne B.Hivyo hata Magufuli hamjakutana naye akiamua anatokea huko Nyuma anaenda zake,
Mbona kuna kipindi walinzi walimzuia kutokea geti la mbele, akawa mjanja akarudi nyuma kama anaokota okota uchafu mara huyo kaibukia kwa Wavuvi, akaanza kupiga nao story, baada ya Muda wale jamaa kugundua ndo wakaanza kufurika kuleta ulinzi,
Britannica