Rais Uhuru Kenyatta akiendesha gari kwenye mitaa ya jiji la Nairobi jana.

Huyo mwenye ushungi utakuta ni TISS wa huko kwao.

BTW: kwa nini marais wa nchi zetu wanaona ni sifa kusaidia maskini barabarani kwa kuwapa vihela vichache badala ya kupambana kufuta umaskini?
Self recognition mipango ya kufuta u masikini itachukua muda mrefu na haina self praise.
 
Licha ya Kenya kuwa na msuguano na Al Shabab ila UK huwa anajiachia sana.

Ni kujiamini au nini?

Siku likitokea la kutokea pia mtakuja na story nyingine.

Pia, zote hizo ni games. Unajua apo alipo kuna magar mangapi ya usalama yanayomzunguka na huyajui? Ukitaka kujua wapo wangapi kapanukishe ndo utajua kama kajiachia au la
 
Siku likitokea la kutokea pia mtakuja na story nyingine.

Pia, zote hizo ni games. Unajua apo alipo kuna magar mangapi ya usalama yanayomzunguka na huyajui? Ukitaka kujua wapo wangapi kapanukishe ndo utajua kama kajiachia au la
Hata kama hatujui kiwango cha usalama wa eneo alilopo mara nyingi anaonekana kuwa social sana.
 
Siku likitokea la kutokea pia mtakuja na story nyingine.

Pia, zote hizo ni games. Unajua apo alipo kuna magar mangapi ya usalama yanayomzunguka na huyajui? Ukitaka kujua wapo wangapi kapanukishe ndo utajua kama kajiachia au la
Ulitaka asilindwe.
 
Mbona ili ni jambo la kawaida sana?

Hata Jakaya niliwahi kutana naye Ocean Road mwaka 2008 akiwa anaendesha mwenyewe, na hakuna mtu angemgundua maana gari lilikuwa na Plate number ya kawaida, alafu wakati anarudi kutoka anakotoka ndipo akasimama kumsalimia jamaa (Mr Salu wa IFM)

Kwa Uhuru Kenyatta yeye anaenda mpaka mazingira hatarishi zaid kuna sehem inaitwa Kayole kuna wahuni wengi anaenda mpaka huko, cha msingi uwa anabeba mpunga wa kutosha,

Hivyo hata Magufuli hamjakutana naye akiamua anatokea huko Nyuma anaenda zake,

Mbona kuna kipindi walinzi walimzuia kutokea geti la mbele, akawa mjanja akarudi nyuma kama anaokota okota uchafu mara huyo kaibukia kwa Wavuvi, akaanza kupiga nao story, baada ya Muda wale jamaa kugundua ndo wakaanza kufurika kuleta ulinzi,

Mara Nyingi huwa ni scenario za kutengeneza maana hawa marais huwa wana watu wao kwamba ntaenda sehem, we unaona hakuna ulinzi kumbe umeimarishwa sana, usije thubutu hata siku moja kukutana na president akiwa mwenyewe ukafurahi kwamba umepata nafasi ya kutimiza unalotaka , utakufa kabla ya siku zako

Britannica
 
Hadithi yako inatufundisha nn

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri hadith yake inafundisha kwamba Raisi wa Kenya Mh Uhuru Kenyatta anajiamini sana, kujiamini kwake kunatokana na yeye kuamini kuwa amechaguliwa na Wakenya..

Je, Raisi wa wanyonge, Raisi wa Tanzania anaweza kufanya kama alivyofanya Raisi Wa Kenya
 
Acha kutudanganya hapa siku ile anaenda kuongea na wale jamaa pale sokoni unataka tuamini kuwa alitoroka? Je walinzi wake walikuwa wapi? Hata Hapo Uhuru Kenyata au JK kama anaendesha mwenyewe lazima kuna magari hata 2 ya walinzi wanakuwepo ila nawao wanakuwa wanafuata foleni nk
Mbona ili ni jambo la kawaida sana?

Hata Jakaya niliwahi kutana naye Ocean Road mwaka 2008 akiwa anaendesha mwenyewe, na hakuna mtu angemgundua maana gari lilikuwa na Plate number ya kawaida, alafu wakati anarudi kutoka anakotoka ndipo akasimama kumsalimia jamaa (Mr Salu wa IFM)

Kwa Uhuru Kenyatta yeye anaenda mpaka mazingira hatarishi zaid kuna sehem inaitwa Kayole kuna wahuni wengi anaenda mpaka huko, cha msingi uwa anabeba mpunga wa kutosha,

Hivyo hata Magufuli hamjakutana naye akiamua anatokea huko Nyuma anaenda zake,

Mbona kuna kipindi walinzi walimzuia kutokea geti la mbele, akawa mjanja akarudi nyuma kama anaokota okota uchafu mara huyo kaibukia kwa Wavuvi, akaanza kupiga nao story, baada ya Muda wale jamaa kugundua ndo wakaanza kufurika kuleta ulinzi,

Mara Nyingi huwa ni scenario za kutengeneza maana hawa marais huwa wana watu wao kwamba ntaenda sehem, we unaona hakuna ulinzi kumbe umeimarishwa sana, usije thubutu hata siku moja kukutana na president akiwa mwenyewe ukafurahi kwamba umepata nafasi ya kutimiza unalotaka , utakufa kabla ya siku zako

Britannica

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom