jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,239
Nimefurahi kwa juhudi zako za kisoma na kutambua upuuzi wa NGOs nyingi zinazotuletea mambo ya ajabu ajabu kupitia misaada ya fedha ambazo kimsingi ni fedha zetu walizotuibia kipindi cha ukoloni na wanazoendelea kutuibia hadi leo.
NGOs nyingi zinapika data ili kuonesha mabaya katika jamii ili tu zinufaike kwa kujidai zinasaidia. Ziko NGOs zinazotuaminisha kuwa eti wanafunzi wa kike wanafeli kwa sababu ya kukosa shule wakati wakiwa kwenye hedhi.
NGOs hizi zinatuaminisha kuwa bila pedi eti watoto wetu wa kike watafeli...huu ni upuuzi na kutuondolea maadili. Leo hii ukiangalia taarifa ya habari na mtoto wako wa kike au mama yako mnaanza kuoneana aibu kwa tangazo la kipuuzi.
Ni lazima kama nchi tuje na miongozo mipya dhidi ya hii western indoctrination.
Pia tupige marufuku ya matangazo yanayosema kwa hisani ya nchi fulani...
NGOs nyingi zinapika data ili kuonesha mabaya katika jamii ili tu zinufaike kwa kujidai zinasaidia. Ziko NGOs zinazotuaminisha kuwa eti wanafunzi wa kike wanafeli kwa sababu ya kukosa shule wakati wakiwa kwenye hedhi.
NGOs hizi zinatuaminisha kuwa bila pedi eti watoto wetu wa kike watafeli...huu ni upuuzi na kutuondolea maadili. Leo hii ukiangalia taarifa ya habari na mtoto wako wa kike au mama yako mnaanza kuoneana aibu kwa tangazo la kipuuzi.
Ni lazima kama nchi tuje na miongozo mipya dhidi ya hii western indoctrination.
Pia tupige marufuku ya matangazo yanayosema kwa hisani ya nchi fulani...