wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,374
Kipindi cha rais Kikwete na rais Mkapa ulikuwepo utaratibu wa taarifa za kila mwezi kutoka kwa rais kueleza utendaji na msimamo wa serikali ktk mambo mbalimbali kwa maslahi ya taifa.
kupitia Taarifa hiyo, wananchi waliweza kujua uelekeo wa taifa ktk mipango, vipaumbele na utekelezaji au ufanisi wa utendaji wa serikali.
Inawezekana utaratibu huo ukaendelezwa na rais wa sasa.
Tofauti na faida za taarifa nilizo eleza hapo juu, zipo faida zingine
1. Kupunguza Matamko Tata, maana naamin taarifa itakuwa na maelezo ya kutosha yaliyopitiwa au kuhakikiwa.
2. Kupunguza tofauti za kiitikadi/kifikra na kujari maslahi ya nchi, kwa kuwa na vipaumbele na miongozo ya utendaji.
3. Kuzidisha hali ya mshkamano na umoja wa kitaifa.
4. Inaongeza uwajibikaji kwa wananchi kupata mrejesho wa mipango, matamko na utendaji wa serikali.
5. inaongeza ushirikishwaji wa wananchi kwa kutoa maoni yao baada ya kusikiliza hiyo taarifa ya rais
ni mtizamo tu.
kupitia Taarifa hiyo, wananchi waliweza kujua uelekeo wa taifa ktk mipango, vipaumbele na utekelezaji au ufanisi wa utendaji wa serikali.
Inawezekana utaratibu huo ukaendelezwa na rais wa sasa.
Tofauti na faida za taarifa nilizo eleza hapo juu, zipo faida zingine
1. Kupunguza Matamko Tata, maana naamin taarifa itakuwa na maelezo ya kutosha yaliyopitiwa au kuhakikiwa.
2. Kupunguza tofauti za kiitikadi/kifikra na kujari maslahi ya nchi, kwa kuwa na vipaumbele na miongozo ya utendaji.
3. Kuzidisha hali ya mshkamano na umoja wa kitaifa.
4. Inaongeza uwajibikaji kwa wananchi kupata mrejesho wa mipango, matamko na utendaji wa serikali.
5. inaongeza ushirikishwaji wa wananchi kwa kutoa maoni yao baada ya kusikiliza hiyo taarifa ya rais
ni mtizamo tu.