Katika Manispaa ambazo zilikumbwa na ubadhilifu mkubwa wa pesa za umma na kukosekana kwa systematic audit Manispaa ya Ilala iliongoza kwa kipinding kwa zaidi ya miaka kumi.
Hiii ilitokana na kuwa na mkaguzi wa ndani ambaye hakuweza kuifanya kazi yake kwa weledi. Lakini mnamo mwaka jana 2020 mwezi March aliyekua mkaguzi wa ndani toka Manispaa ya Ubungo, ndugu Bikmbo Mujuni alihamishiwa manispaa ya Ilala na baada ya miezi michache tuliweza kuona alivyoibua madudu mengi katika idara zote kuanzia idara ya fedha, afya na zinginezo, tulishuhudia riport zikitoka kwa wakati, ubadhilifu wa fedha za umma ukiibuliwa.
Kwa kuona hivyo ndugu Bikombo Mjuni ameletewa zengwe na idara ya utumishi pamoja na idara ya uhasibu mpaka kupelekea kupewa barua ya kuhamishiwa Morogoro vijijini, kwa sababu tu alikataa kushiriki upitishwaji wa madodoso feki, mkaguzi huyu anaondlolewa Manispaa ya Ilala kwakua tu amekuwa akipingana na njama chafu za ukwapuaji wa pesa katika vifungu mbalimbali katika manispaa ya Ilala, tunakuomba mheshimiwa rais kupitia vyombo vyako vya uchunguzi kufanyike uchunguzi wa kina kuhusu sakata hili.
Ndugu Mjuni anaondolewa kimizengwe ili watu wafanye mambo yao maovu, pia mnaweza fuatilia utendaji wake wa kazi tangu akiwa manispaa ya ubungo, ni mchapakazi, mwaminifu na ni mtu ambaye kweli anaijua kazi yake. Tunaiomba sana serikali imwache mkaguzi huyu katika manispaa yetu ya Ilala walau aweze kuendelea kusawazisha mambo.
Hiii ilitokana na kuwa na mkaguzi wa ndani ambaye hakuweza kuifanya kazi yake kwa weledi. Lakini mnamo mwaka jana 2020 mwezi March aliyekua mkaguzi wa ndani toka Manispaa ya Ubungo, ndugu Bikmbo Mujuni alihamishiwa manispaa ya Ilala na baada ya miezi michache tuliweza kuona alivyoibua madudu mengi katika idara zote kuanzia idara ya fedha, afya na zinginezo, tulishuhudia riport zikitoka kwa wakati, ubadhilifu wa fedha za umma ukiibuliwa.
Kwa kuona hivyo ndugu Bikombo Mjuni ameletewa zengwe na idara ya utumishi pamoja na idara ya uhasibu mpaka kupelekea kupewa barua ya kuhamishiwa Morogoro vijijini, kwa sababu tu alikataa kushiriki upitishwaji wa madodoso feki, mkaguzi huyu anaondlolewa Manispaa ya Ilala kwakua tu amekuwa akipingana na njama chafu za ukwapuaji wa pesa katika vifungu mbalimbali katika manispaa ya Ilala, tunakuomba mheshimiwa rais kupitia vyombo vyako vya uchunguzi kufanyike uchunguzi wa kina kuhusu sakata hili.
Ndugu Mjuni anaondolewa kimizengwe ili watu wafanye mambo yao maovu, pia mnaweza fuatilia utendaji wake wa kazi tangu akiwa manispaa ya ubungo, ni mchapakazi, mwaminifu na ni mtu ambaye kweli anaijua kazi yake. Tunaiomba sana serikali imwache mkaguzi huyu katika manispaa yetu ya Ilala walau aweze kuendelea kusawazisha mambo.