Unajuwa kuna mambo ambayo mtu mjinga sio rahisi kuelewa ila ni mwerevu tu anaweza kuwa.
Lissu amekaa Marekani na kuchafua taswira ya Taifa kwa kipindi chote ila Rais wa Marekani hakuwahi hata tweet nakusema pole maana anona picha zake na CIA wanamwambia kuna mtu hapo nyumbani.
Ila ametafuta picha ya mama ambaye yupo huko mpakani mwa Tanzania na ku comment Amazing na ma milion ya watu wakafurahi naku like.
Hii inathibitisha kuwa TZ kuna vipaji na badala yakujipaka matope tutafute kujenga taifa nakusemea mazuri taifa.
Kiukweli najuwa jamaa anajisikia vibaya sana maana hata mabeberu wanamshanga maana wanaijua Tz na ndio maana Trump amemtumia msg Amazing.
Wajinga ndi waliwao sisi tunasenga mbele zidi kuchafuwa taifa.
Lissu amekaa Marekani na kuchafua taswira ya Taifa kwa kipindi chote ila Rais wa Marekani hakuwahi hata tweet nakusema pole maana anona picha zake na CIA wanamwambia kuna mtu hapo nyumbani.
Ila ametafuta picha ya mama ambaye yupo huko mpakani mwa Tanzania na ku comment Amazing na ma milion ya watu wakafurahi naku like.
Hii inathibitisha kuwa TZ kuna vipaji na badala yakujipaka matope tutafute kujenga taifa nakusemea mazuri taifa.
Kiukweli najuwa jamaa anajisikia vibaya sana maana hata mabeberu wanamshanga maana wanaijua Tz na ndio maana Trump amemtumia msg Amazing.
Wajinga ndi waliwao sisi tunasenga mbele zidi kuchafuwa taifa.