Rais toa tamko watu wanazuiwa kuingia sokoni kisa Barakoa!

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,209
Mh sana, kumezuka tabia ya viongozi mbalimbali kujiamlia mambo yao kienyeji mpaka wameanza kupiga marufuku wananchi kuingia masokoni kisa barakoa.

Hali hii inaleta usumbufu sana kwa wananchi mpaka kupelekea wengine kupigwa na hao wanaojiita viongozi wa masoko.

Rais wetu sema neno moja tu la kutufariji dhidi ya kadhia hii, kwanza kuvaa barakoa si msimamo halisi wa serikali dhidi ya ugonjwa huu.
 
Tatizo elimu huna
Mh sana, kumezuka tabia ya viongozi mbalimbali kujiamlia mambo yao kienyeji mpaka wameanza kupiga marufuku wananchi kuingia masokoni kisa barako. Hali hii inaleta usumbufu sana kwa wananchi mpaka kupelekea wengine kupigwa na hao wanaojiita viongozi wa masoko. Rais wetu sema neno moja tu la kutufariji dhidi ya kadhia hii, kwanza kuvaa barakoa si msimamo halisi wa serikali dhidi ya ugonjwa huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh sana, kumezuka tabia ya viongozi mbalimbali kujiamlia mambo yao kienyeji mpaka wameanza kupiga marufuku wananchi kuingia masokoni kisa barako. Hali hii inaleta usumbufu sana kwa wananchi mpaka kupelekea wengine kupigwa na hao wanaojiita viongozi wa masoko. Rais wetu sema neno moja tu la kutufariji dhidi ya kadhia hii, kwanza kuvaa barakoa si msimamo halisi wa serikali dhidi ya ugonjwa huu.
Naona unaongea huku unaharisha......? Hivi ninyi mkisikia Corona mnahisi ni kama kuharisha harisha?

Tatizo mnasikiliza siasa badala ya uhalisia.... Unaambiwa uende na masks lengo ujilinde wewe na kulinda wengine.....

Ikianza kula familia yako uje uanzishe uzi wako wa kijinga humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh sana, kumezuka tabia ya viongozi mbalimbali kujiamlia mambo yao kienyeji mpaka wameanza kupiga marufuku wananchi kuingia masokoni kisa barako. Hali hii inaleta usumbufu sana kwa wananchi mpaka kupelekea wengine kupigwa na hao wanaojiita viongozi wa masoko. Rais wetu sema neno moja tu la kutufariji dhidi ya kadhia hii, kwanza kuvaa barakoa si msimamo halisi wa serikali dhidi ya ugonjwa huu.
Atoe tamko gani sasa, unakuwa kama sio great thinker
 
Back
Top Bottom