Rais: Siyo lazima lakini fanya haya sasa

Mkuu jamaa anafanya vitu kwa ajili yake..vitu nilivyovitaja ukivigeuza utapata nini kifanyike mkuu, kwanza hawezi sikiliza kitu nahisi jamaa alikualia kwenye maisha magumu sana...
Badilisha katiba ili marais wajao wawe wa mboga saba tu
 
Trump aliwapiga mkwara wasaidizi wake waache kumuandikia maripoti mareeefu bali wawe precise and briefy.... Naandika kwa ufupi tu, sitaacha kukushauri hata kama nitaonekana mpuuzi kwa waliokuzunguka.

  1. Punguza the so called utumbuaji majipu bali tengeneza mfumo wa kisheria ambao utakuwa unatumbua atomatic. Tutakushukuru na kukumbuka muda wote wa uhai wa Taifa letu ukifanya hivyo
  2. Punguza ama acha kufanya harakati za kiuongozi bali be either Commander In Chief or Comforter in Chief uwapo majukwaani.
  3. Waziri wako akitoa tamko la hovyo nawe usijibu kupitia tamko maana ni sawa na mtu kupigana na mkewe ili kumfunza adab. Zuia utekelezaji wa tamko hilo and taarifa itolewe baadaye
  4. Kuwa makini na wasaidizi wanaokuletea taarifa. hakikisha unawafanyia vetting ya kutosha na chuja sana taarifa kabla ya kuact
  5. Each one Teach one. WALAMI wanaitumia sana hii falsafa sasa hivi ndo maana unaona kama wapo kimya vile
  6. Wawekezaji wakifunga biashara hakikisha tuna plan mbadala la sivyo unemployment level itapanda sana.
Wait and Hope ni msingi mkubwa kwa mwenye hekima yeyote.
Usionyeshe hadharani kuwa wewe ni lofa, mtu kasema hadharani tena mbele ya Rais wa benki ya dunia kwamba hashauriwi mpaka Rais wa World Bank alikuwa na ushauri wa kumpa akausondeka kwenye mfuko wa shati kijanja kijanja akarudi nao kwao wewe unasema umshauri pumba tupu tena kupitia mitandao aliyosema ataifunga.

Kwa nini una likichwa ligumu hivi mkuu kama mkolomije?
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom