Rais sio Mungu, Punguzeni kumshukuru mwanadamu mwenzenu kila muda

Randy orton

JF-Expert Member
Apr 29, 2019
1,338
3,541
Hili jambo lilianza awamu ya tano,kila kitu asante JPM , matokeo yake huyo JPM akafariki (RIP).


Hii ilitosha kutufunza Raisi wetu sio Mungu , ni mwanadamu tu.

Badala ya kujifunza , hivi sasa awamu hii kila mtu asante Mama, yaani wanamshukuru hata kwa vitu walivyofanua wao.

Wanaokera zaidi ni wale viongoz wa dini, mtu anaongelea masuala ya KiMungu anamshukuru Raisi wa Tanzania!!

Yaani huku kujipendekeza na kujikomba kumepitiliza sasa, nadhani unafiki wa viongozi na baadhi ya wananchi umefikia level ambayo haijawahi kutokea.

Wakati wa JPM wengine tulidhani labda ni tabia ya mzee kupenda ujiko, lakini kumbe huu ndio utaratibu mpya, unafki wa kupitiliza.

ipo siku watu watakuja kumshukuru Raisi hata kwa kupewa unyumba na wake zao kwa mtindo huu mchafu kama wasipokemewa.
 
Hii tabia ya kumsifu rais isivyo kawaida imeota mizizi baada ya kuanzishwa rasmi na Magufuli. Inakuwa kama kumepandikizwa ujinga fulani ndani ya taifa hili. Na haya ni madhara ya serikali kukaa madarakani bila ridhaa ya umma, hivyo zinawekwa sifa za kulazimisha ili kuhalalisha uwepo wa serikali hiyo madarakani. Kwangu nikishakia mtu anamsifia tu rais, namdharau moja kwa moja.
 
Yaani bunge ,watangazaji,wakuu wa wilaya na mikoa ,wakuregenzi kila ukifungua redio au tv mtu hawezi kuongea kitu cha maana bila kumshukuru na kumsifu mama,unafki wanaofanya hata mama hashtuki wanavyosifu as if mama kafanya mengi sana kuliko yule aliyekaa miaka 5 madarakani.
 
Aliekuwa anashukuriwa kila muda sasa anapondwa kila muda🚶🚶🚶


2022030133155.jpg
 
Yaani bunge ,watangazaji,wakuu wa wilaya na mikoa ,wakuregenzi kila ukifungua redio au tv mtu hawezi kuongea kitu cha maana bila kumshukuru na kumsifu mama,unafki wanaofanya hata mama hashtuki wanavyosifu as if mama kafanya mengi sana kuliko yule aliyekaa miaka 5 madarakani.
wanakera sana hawa watu
 
Hili jambo lilianza awamu ya tano,kila kitu asante JPM , matokeo yake huyo JPM akafariki (RIP).


Hii ilitosha kutufunza Raisi wetu sio Mungu , ni mwanadamu tu.

Badala ya kujifunza , hivi sasa awamu hii kila mtu asante Mama, yaani wanamshukuru hata kwa vitu walivyofanua wao.

Wanaokera zaidi ni wale viongoz wa dini, mtu anaongelea masuala ya KiMungu anamshukuru Raisi wa Tanzania!!

Yaani huku kujipendekeza na kujikomba kumepitiliza sasa, nadhani unafiki wa viongozi na baadhi ya wananchi umefikia level ambayo haijawahi kutokea.

Wakati wa JPM wengine tulidhani labda ni tabia ya mzee kupenda ujiko, lakini kumbe huu ndio utaratibu mpya, unafki wa kupitiliza.

ipo siku watu watakuja kumshukuru Raisi hata kwa kupewa unyumba na wake zao kwa mtindo huu mchafu kama wasipokemewa.
Tena sasa ndiyo wamezidisha huu ushamba
 
Hili jambo lilianza awamu ya tano,kila kitu asante JPM , matokeo yake huyo JPM akafariki (RIP).


Hii ilitosha kutufunza Raisi wetu sio Mungu , ni mwanadamu tu.

Badala ya kujifunza , hivi sasa awamu hii kila mtu asante Mama, yaani wanamshukuru hata kwa vitu walivyofanua wao.

Wanaokera zaidi ni wale viongoz wa dini, mtu anaongelea masuala ya KiMungu anamshukuru Raisi wa Tanzania!!

Yaani huku kujipendekeza na kujikomba kumepitiliza sasa, nadhani unafiki wa viongozi na baadhi ya wananchi umefikia level ambayo haijawahi kutokea.

Wakati wa JPM wengine tulidhani labda ni tabia ya mzee kupenda ujiko, lakini kumbe huu ndio utaratibu mpya, unafki wa kupitiliza.

ipo siku watu watakuja kumshukuru Raisi hata kwa kupewa unyumba na wake zao kwa mtindo huu mchafu kama wasipokemewa.
Kusifia kwa CCM kunalipa sn, angalia Mkuu wa Wilaya ya Ileje Anna Gidarya hata F4 hana lakini anaongoza wasomi wenye masters+
 
Hili jambo lilianza awamu ya tano,kila kitu asante JPM , matokeo yake huyo JPM akafariki (RIP).


Hii ilitosha kutufunza Raisi wetu sio Mungu , ni mwanadamu tu.

Badala ya kujifunza , hivi sasa awamu hii kila mtu asante Mama, yaani wanamshukuru hata kwa vitu walivyofanua wao.

Wanaokera zaidi ni wale viongoz wa dini, mtu anaongelea masuala ya KiMungu anamshukuru Raisi wa Tanzania!!

Yaani huku kujipendekeza na kujikomba kumepitiliza sasa, nadhani unafiki wa viongozi na baadhi ya wananchi umefikia level ambayo haijawahi kutokea.

Wakati wa JPM wengine tulidhani labda ni tabia ya mzee kupenda ujiko, lakini kumbe huu ndio utaratibu mpya, unafki wa kupitiliza.

ipo siku watu watakuja kumshukuru Raisi hata kwa kupewa unyumba na wake zao kwa mtindo huu mchafu kama wasipokemewa.
Sifa zimezidi, lakini siku akitoka madarakani hutoamini utakayoyasikia, watu wamejaa njaa na unafiki tu.
Rais Samia awe makini na hawa watu,
 
Hili jambo lilianza awamu ya tano,kila kitu asante JPM , matokeo yake huyo JPM akafariki (RIP).


Hii ilitosha kutufunza Raisi wetu sio Mungu , ni mwanadamu tu.

Badala ya kujifunza , hivi sasa awamu hii kila mtu asante Mama, yaani wanamshukuru hata kwa vitu walivyofanua wao.

Wanaokera zaidi ni wale viongoz wa dini, mtu anaongelea masuala ya KiMungu anamshukuru Raisi wa Tanzania!!

Yaani huku kujipendekeza na kujikomba kumepitiliza sasa, nadhani unafiki wa viongozi na baadhi ya wananchi umefikia level ambayo haijawahi kutokea.

Wakati wa JPM wengine tulidhani labda ni tabia ya mzee kupenda ujiko, lakini kumbe huu ndio utaratibu mpya, unafki wa kupitiliza.

ipo siku watu watakuja kumshukuru Raisi hata kwa kupewa unyumba na wake zao kwa mtindo huu mchafu kama wasipokemewa.
Bakwata wanaongoza katika hili
 
Back
Top Bottom