mnyawusi
Senior Member
- Apr 1, 2012
- 169
- 254
Wazanzibari acheni ubaguzi huu. Je, pesa inayopatikana katika madini ya dhahabu, almasi, tanzanite nk huku Bara haiwanufaishi Wazanzibari? ubaguzi wa ovyo kabisa. Na baya zaidi mafuta na gesi yenyewe havijapatikana, vitakapopatikana naona mtarudisha passport!