We ni nyumbu tu kwa akili yako unataka kusema miaka ya nyuma wale wakurugenzi hawakuwa makada ya CCM? Jua kabisa kama mkurugenzi kikatiba anateuliwa na Rais unaweza kusema hakuna siasa kwenye huo uteuzi? Au unajitoa ufahamu huku ukiwa na chuki kwa Marehemu. Kila kitu unalaamu mareheu hata ukishindwa mambo yako binafsi marehemu. Hivi umefanya nini cha maana baada ya marehemu kufariki?Hebu jitathmini Ubongo wako kama upo maana unaropoka tu. Hii mada siyo ya hadhi yako soma upite au uliza ueleweshwe.
Haina ubishi, Mwendazake aliteua makada wa CCM waliokuwa namba 2 kwenye kura za maoni ndani ya CCM au walioshidwa na upinzani kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 na kuwafanya ma DED na ma DAS.
Hiyo siyo sawa na ni kinyume cha Katiba ya JMT ya mwaka 1977 toleo la 2000 inayosema Mtumishi wa Umma hatakuwa mwanachama wa Chama cha Siasa.