sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,368
Yaani mkaguzi alikagua na kukupatia ripoti ya ukaguzi iliyoshiba Kila aina ubadhilifu, na mkaguzi aliyasemayote mbele yako nasi wanaanchi tukifatilia mubashara.
Leo tunasikia yakuwa unachunguza tena? Wanaochunguza nmeambiwa ni vijana wetu wa idarani ambao nao Wana watu wao wanausika katika wizi huo wadhan nini kitajili huko?
Kwakuwa wezi walitajwa hadharani vyema nawe uwapasue hadharani.
Leo tunasikia yakuwa unachunguza tena? Wanaochunguza nmeambiwa ni vijana wetu wa idarani ambao nao Wana watu wao wanausika katika wizi huo wadhan nini kitajili huko?
Kwakuwa wezi walitajwa hadharani vyema nawe uwapasue hadharani.