sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Watanzania wanalipa Kodi, usimamizi wa Kodi hizo ni changa moto ambayo kimsingi walio teuliwa na kuajiliwa na serikali ni watu WA ovyo Sanaa..
Kama Kuna sehemu pesa za serikali zinatafunwa ni hizi zinazosemekana ni zao la makusanyo ya halimashauri ambazo utolewa kwa vijana na wakina mama waliopo kwenye halimashauri mbali mbali.
Pesa hizi kwa mujibu wa maelekzezo ya serikali watumishi wa umma ambao wanatakiwa kuzitoa kama kwa maana ya kuzilatibu ni Maafisa maendeleo ya jamii changa moto uanzia hapo.
Kinachofanywa; Maafisa maendeleo ya jamii uunda vikundi hewa, pili uunda vikundi,vya watu wasio na sifa za ujana na kuwapa pesa hizo,
Tatu uumdwa vikundi ambavyo wanavikundi wengi Huwa ni makada w chama Fulani especially ccm na mengine mengi mwisho wa yote fedha hizi uishia kupotea kusiko julikana.
Nini kifanyike?
Kwanz ni muhimu fedha hizi, hasa kwa halimashauri ambayo haijafanikiwa kurudisha fedha hizi ni kuhakikisha wakurugenzi na Maafisa maendeleo wanachunguzwa.
Naushauri Waziri anae uska kuunda KIKUNDI kazi Cha kuchunguZi KIKUNDI iki kitoke private sector kichunguze halimashauri zote mtakuja na majibu ya Kwa Nini fedha hizi hazirejeshwi.
Kama Kuna sehemu pesa za serikali zinatafunwa ni hizi zinazosemekana ni zao la makusanyo ya halimashauri ambazo utolewa kwa vijana na wakina mama waliopo kwenye halimashauri mbali mbali.
Pesa hizi kwa mujibu wa maelekzezo ya serikali watumishi wa umma ambao wanatakiwa kuzitoa kama kwa maana ya kuzilatibu ni Maafisa maendeleo ya jamii changa moto uanzia hapo.
Kinachofanywa; Maafisa maendeleo ya jamii uunda vikundi hewa, pili uunda vikundi,vya watu wasio na sifa za ujana na kuwapa pesa hizo,
Tatu uumdwa vikundi ambavyo wanavikundi wengi Huwa ni makada w chama Fulani especially ccm na mengine mengi mwisho wa yote fedha hizi uishia kupotea kusiko julikana.
Nini kifanyike?
Kwanz ni muhimu fedha hizi, hasa kwa halimashauri ambayo haijafanikiwa kurudisha fedha hizi ni kuhakikisha wakurugenzi na Maafisa maendeleo wanachunguzwa.
Naushauri Waziri anae uska kuunda KIKUNDI kazi Cha kuchunguZi KIKUNDI iki kitoke private sector kichunguze halimashauri zote mtakuja na majibu ya Kwa Nini fedha hizi hazirejeshwi.