Usisahau, mara nyingi serikali imekuwa inavunja katiba (japo wana apa kwa mbwembwe kuwa watailinda) na kudai ilifanya hivyo kwa nia njema. Mara kadhaa imeshuhudiwa ongezeko la kodi au tozo baada ya budget. Hakuna Mbunge anae hoji maamuzi kama hayo, na wajinga tukisema bunge halina meno tunazomewa.Mama anasema Waziri wa fedha aliondoa Tsh 100 kwenye bei ya mafuta lakini akairudisha kwasababu moja ilikuwa imeshapitishwa kwenye bajeti na pili isingeleta unafuu wowote kwa walaji katika kipindi hiki cha mfumuko...