1. Mafuta imepanda kutokana na kupanda kwa bei duniani, ata wakitoa sh 100 itabaki sh2300, ata mwaka 2018 bei ilipanda kutokana na kupanda bei dunianiMheshimiwa Rais rejea yafuatayo:
1. Bei ya mafuta ya kula, diseli na petrol.
2. Uminywaji wa uhuru wa vyama vya siasa
3. Ubambikiaji kesi kwa viongozi wa kisiasa hasa mtoto wa ubatizo wa Mwl. Nyerere
4. Mtaani timu za siasa 2025
a.Timu JRM
b.Timu SJ
c.Timu MLN.
d. Timu SG (hii imeanza kusambaratika japo kura zao nyingi)
2.Mambo ya siasa ndio amefeli kabisa angetumia approach yake kama samia na sio approach ya Magufuli
Anasumbuliwa na kivuli cha Magufuli, na changamoto anayopata akitumia approach ya Magufuli anakwama maana sio mawazo yake hivyo ataomba ushauri kwa watu waliomshauri Magufuli na watampoteza
Anatakiwa aamke na asipoamka basi AJILAUMU MWENYEWE