Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Ndugu Rais,
Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.
Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu ziko salama au la!, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyume cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.
Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.
Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?
Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisi tutajua unachofanya ni kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.
Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana.
Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu ziko salama au la!, kama zilitumika zilitumika kwa kufuata misingi ya sheria? Maadamu uliagiza uchunguzi wa suala hili hadharani, wananchi tunataka kujua yaliyojiri katika hili suala, kinyume cha hapo ni kulindanalindana tu ambako sisi wananchi hatutaki.
Ndugu Rais, hizi pesa ni mali yetu wananchi, ni kodi zetu, kama ni za mkopo basi tutalipa sisi na pengine watoto wetu, kwa hiyo tunaomba hiyo ripoti iwekwe wazi tujue kinachojiri katika hizo pesa.
Ndugu Rais, Uliunda tume ya ushauri juu ya masuala ya korona na ndani ya miezi miwili tu imekupa majibu na imetoa mrejesho wa mapendekezo yake hadharani, Sasa hiki kigugumizi kuhusu ripoti ya PESA zetu cha nini?
Ndugu Rais, tunaomba utupe imani kuwa Unapambana na Ufisadi kwa Vitendo, Unapambana na Ubadhirifu wa pesa ya umma kwa Vitendo na ili uweze kutupa imani hiyo TUNATAKA RIPOTI YA MIAMALA YA FEDHA ZETU KUANZIA Mwezi January hadi March Mwaka huu tuione na tujue kiluchojiri, Kinyume cha hapo sisi tutajua unachofanya ni kulindana tu kwenye mambo ya Upigaji.