Mwangalieni huyu!!Huyo Chige ni kati ya watu waliokuja ghafla kutetea mradi wa wachina wa bandari ya Bagamoyo muda mfupi baada ya Magufuli kufa. Ana maslahi flani na hao wazalendo waliotajwa. Kwenye thread ile nilimuambia "watanzania hawajasahau ...."
FYI, nimeanza kuzungumzia mradi wa Bandari ya Bagamoyo tangu JPM akiwa hai kwahiyo ni kiroja kusema eti mimi ni kati ya watu "waliokuja ghafla" kutetea mradi muda mfupi mbaada ya JPM kufa!!
Hivi unaonaje ungejadili hoja niliyoweka badala ya kunijadili mimi? Are you this low?!!Hivyo nilitegemea atakuja kwa kasi kutetea upigaji huo unaotaka kufanywa kwenye SGR.
Ilikuwa lazima afanye hivyo sababu makala ya gazeti la Jamhuri imeponda uhuni wa mradi wa bandari ya Bagamoyo kwa kuwahusisha wapigaji hao wanaojiita wazalendo.
Unaonaje ukianza na hoja ya wapi mmepata figure ya 14.2 Billion/kilometer wakati mamlaka zilisema 2560km zingejengwa kwa USD7.6 Billion>
Tuanze hapo kwanza....