chibuga mugeta
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,176
- 1,055
Halijawahi tokea ktk nchi hii Raisi kujipigia debe mapema hivi as if kampeni zimeanza,huyu muda wake unahesabika,anajilisha tu upepo anapima maji ya bahari kwa njiti ya kiberitiGenge linalopinga SSH kuwa Rais kwa muhula wa pili, mgetafuta tu kazi za kufanya
Hii nchi Rais tena wa CCM akiishashika muhula wa kwanza ndo imetoka hvyo hadi amalize vipindi vyote viwili labda afe...