SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,758
Anawadharau sana wanaume huyu HangayaNdio anajipigia prom hivyo
Anawadharau sana wanaume huyu HangayaNdio anajipigia prom hivyo
Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Wananchi wanataka rais wa kupigania maslahi ya umma sio mtu anatuletea habari ya rais mwanamke. Awe mwanamke au mwanaume umma hawana haja na rais wa kutetea maslahi ya mabwanyenye. Wanataka mtu muadilifu na shupavu. Asiye muoga au kutishika. Sio mtu unagombea urais ili eti kwenda waonesha wanawake kwamba na wao wamekua rais.Rais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
View attachment 1938704
Kifungu gani?Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Ila wapo wakombozi wetu akina GwajimaAnawadharau sana wanaume huyu Hangaya
Umenielewa vibayaKutambua uwepo wa Mungu ni jazba? Basi ahsante mkuu.
Nani aachie URais kizembe zembe? Safi Sana mama umewapasha liveRais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Umesoma Katiba ya wapi? Unaijua Katiba yetu ya 1977 kweli ww?Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Huyu mama kauli yake kwamba Uraisi wa Zanzibar sio saizi yake,ilitakiwa imshtue Magu,huyu mama kafurahia sana kifo cha Magufuli hiyo mbona iko waziKumbe anafurahia kifo cha Jamaa kimetengeneza fursa
Sukuma gang unateseka ukiwa wapi?Sema Msoga Gang mna imani naye
Sema una Imani naye, stop sweeping statementsMama chapa kazi watanzania tuna imani na wewe
Kwa Gwajima kanyoosha mikono, Gwajima ana 'watu'.Ila wapo wakombozi wetu akina Gwajima
Hayo ameyasema leo akizungumza na wanawake
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amesema hayo akishiriki katika maadhimisho ya siku ya Demokrasia duniani DIAMOND JUBILEE Dodoma kwa kusema wanawake hao wanapaswa kusimika Rais kwa kumchagua na yeye amesema mwaka 2025 ndio mwaka ambao Rais wa kike atachaguliwa.
Amesema hayo baada ya kurejea kwamba Rais mwanamke aliyepo kwa sasa ni kwa kudura za mwenyezi Mungu na matakwa ya katiba.
Hivyo mwaka 2025 wanawake wajitafakari na kuweka/kusimika Rais wa kike.
Niko Chato mkuu, karibu sanaSukuma gang unateseka ukiwa wapi?
Katiba ipi na kifungu kipi?!!..Yeye alikua Makumu wa Raisi/amekuja kuwa Raisi Kwa Mujibu wa Katiba!!..2025 anagombea rasmi!!.. anaweza kuongoza for 14 Years kama akipenda na chama kikiona inapendeza!!Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Tanzania hakuna chama cha kushindana na ccm ,vyama sacos sio rahisiKukiwa na fair competition kwenye chama hawezi kuingia hata kwenye 5 bora.
Amejisahau akaropoka nia aliyo nayoUNAFIKI ni kitu kibaya sana si alipiga marufuku watu kutangaza kuhusu kugombea 2025? 😳