Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wavmcheni ubaguzi basi jamaniYaani 2025 atajua hajui yani. Tunamchinja kobe kuanzia kwenye gamba hadi ndani
Wavmcheni ubaguzi basi jamaniYaani 2025 atajua hajui yani. Tunamchinja kobe kuanzia kwenye gamba hadi ndani
Yaani hata miaka hii iliyobaki ataona kiti cha moto. Sukuma gang hatupoi yaaniTayari vishaumana pale lumumba.
Hayaaa bwana wenye nguvu wape nafasi wafanye yao.Yaani hata miaka hii iliyobaki ataona kiti cha moto. Sukuma gang hatupoi yaani
Hii ya sehemu ya Tanzania munaisema nyinyi lkn Zanzibar haiko. Zanzibar ni moja ya nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nikuhakikishie tu kwamba muungano upo tena kisheria. Hii huitwa international contract. Kwenye muungano huu tunapotofautiana pande mbili kinachoangaliwa ni sheria ya muungano ya 1964 ( Act of the union) na Articles of the union na katiba ni katika kuendesha mambo tu.Hakuna logic basi ya Muungano. Muungano haupo 100%
TanganyikaNchi nyingine ya pili inayounda Jamuhuri ya muungano ni ipi?
Ana settle vitu taratibu, anamfunga sabaya na the likes huku anapuliza kwa mbowe. CCM hadi kuja kujua baadae sana. Najua mama ni mbishi sana kwa sababu wazee wa ccm watataka awafinye wapinzani magufuri styles lakini atafanya kwa kuwaridhisha tu ila ukimuona kiundani Samia anajua History yake na maisha yake hayana nafasi katika urais kwa hiyo hana cha kupoteza. Yy akimaliza mda wake atasaurika kama karumi, kwani hajui marais wa Zanzibar Tanzania hawana nafasi. Marais wanaokumbukwa Tanzania ni Nyerere,Mkapa,Kikwete na Magufuri. Hao wa Zanzibar taa inazimagwaMawazo mazuri ila hapo sidhani kama ataweza kufanya hayo kwa kuwa nao mfumo ndio bado unaaongoza nchi wala cio yeye
Nduguyo 2025 ni mbali msiwaze huko tuwatumikie wananchiRais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.