Rais Samia: Wakati Mapinduzi ya Zanzibar yanatokea nilikuwa na umri wa miaka 4, sikuwahi kufikiria leo nitakuwa Rais wa JMT

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,725
141,591
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesema wakati Mapinduzu matukufu ya Zanzibar yanafanyika 1964 alikuwa na umri wa miaka 4 na hakufikiria kama leo atakuwa Rais wa JMT.

Rais Samia amesema hayo wakati akiwatakia Sikukuu njema ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar zitakazoadhimishwa kesho Tanzania nzima.

Rais Samia leo amefungua kiwanda cha kimataifa cha kuzalisha Vitenge, Khanga na Vikoi huko Unguja.

Source: ITV
 
Binadamu tunaakili finyu sana, utajuaje kitu fulani kitatokea wakati wewe sio mungu
Boss ambacho hujui ni kuwa kama ujawahi kuwa na njozi(imagination) na kitu ukikipata itakuwa shidaa.
Angalia maisha yako utaelewa,angalia na aina ya viongozi tulionao utajifunza.
 
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesema wakati Mapinduzu matukufu ya Zanzibar yanafanyika 1964 alikuwa na umri wa miaka 4 na hakufikiria kama leo atakuwa Rais wa JMT.

Rais Samia amesema hayo wakati akiwatakia Sikukuu njema ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar zitakazoadhimishwa kesho Tanzania nzima.

Rais Samia leo amefungua kiwanda cha kimataifa cha kuzalisha Vitenge, Khanga na Vikoi huko Unguja.

Source: ITV
Tunajua yeye ni Rais tena mwenye jinsia ya mwanamke, mbona hajiamini kama kocha wa timu ya wanawake ya Yanga?
 
Je lini serikali yako itapanga muda na kutembelea miradi mikubwa ya kimkakati ili kujionea hali ya udororaji wa utendaji na spidi ndogo ya ujenzi?
 
Binadamu tunaakili finyu sana, utajuaje kitu fulani kitatokea wakati wewe sio mungu
Acha kila kitu kumpinga mama sasa kwani wewe ulijua kwamba utaweza kuandika na kusoma japo harudi A hapa jf?
Ni kawaida sana kwa kila mtu kusema sikufikiria jambo fulani litakuwa hivi na hivi watu wengi wanaongea unashangaa kwa mama tu.,
 
Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan amesema wakati Mapinduzu matukufu ya Zanzibar yanafanyika 1964 alikuwa na umri wa miaka 4 na hakufikiria kama leo atakuwa Rais wa JMT.

Rais Samia amesema hayo wakati akiwatakia Sikukuu njema ya miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar zitakazoadhimishwa kesho Tanzania nzima.

Rais Samia leo amefungua kiwanda cha kimataifa cha kuzalisha Vitenge, Khanga na Vikoi huko Unguja.

Source: ITV
Zanzibar tuna Viwanda sasa mama hongera sana, kazi iendelee
 
Back
Top Bottom