Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Rais Samia amewakumbusha viongozi kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kuchanja chanjo ya #COVID19
Amesema hayo akizuweka jiwe la msingi la Ujenzi wa Miundombinu ya mabasi ya mwendo kasi Awamu ya pili Mbagala rangi tatu
Awali, RC Amos Makalla alisema Dar wanaongoza kwa kuwa na watu wengi waliochanja, suala ambalo Rais amelikanusha
Amesema hayo akizuweka jiwe la msingi la Ujenzi wa Miundombinu ya mabasi ya mwendo kasi Awamu ya pili Mbagala rangi tatu
Awali, RC Amos Makalla alisema Dar wanaongoza kwa kuwa na watu wengi waliochanja, suala ambalo Rais amelikanusha