BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
“Nilikuwa na mazungumzo na Katibu wa Chama, katipa somo, nalikopa kutoka kwake. Vijana wa leo tunakimbilia kwenye kutaka utajiri.
“Uwe na jumba zuri, gari zuri, mambo yako yaende hivyo, lakini bahati mbaya baada ya muda utajiri unakugeuka na unakupiga, kama ni nyumba au gari huwezi kutunza, utajiri ulioutaka kwa haraka haraka unakupiga.
“Tunalotakiwa kufanya vijana ni kutengeneza ukwasi, upatikanaji wa fedha kila muda, kila mara kila wakati, muwe na miradi midogomidogo
“Kazi ya Serikali ni kufanya makusanyo makubwa na kutekeleza miradi tunayoitekeleza
“Kazi yenu vijana ni kutengeneza miradi ambayo itawapatia fedha ambayo italeta mzunguko na si Serikali kuambiwa isababishe mzunguko kwa vijana.
“Vijana nendeni kajitumeni, fursa zipo.”
“Uwe na jumba zuri, gari zuri, mambo yako yaende hivyo, lakini bahati mbaya baada ya muda utajiri unakugeuka na unakupiga, kama ni nyumba au gari huwezi kutunza, utajiri ulioutaka kwa haraka haraka unakupiga.
“Tunalotakiwa kufanya vijana ni kutengeneza ukwasi, upatikanaji wa fedha kila muda, kila mara kila wakati, muwe na miradi midogomidogo
“Kazi ya Serikali ni kufanya makusanyo makubwa na kutekeleza miradi tunayoitekeleza
“Kazi yenu vijana ni kutengeneza miradi ambayo itawapatia fedha ambayo italeta mzunguko na si Serikali kuambiwa isababishe mzunguko kwa vijana.
“Vijana nendeni kajitumeni, fursa zipo.”