Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,001
- 9,866
Rais Samia Suluhu Hassan amesema zaidi ya 60% ya walioko Tanzania ni vijana hivyo wanahakikishwa kufanya wanapata mkate wao wa kila siku
Amewataka watu wa Halmashauri kutoa mikopo mikubwa kwa vikundi vichache ili vijana waweze kufanya miradi yao
Aidha amesema watajenga vyuo vya ufundi(VETA) na kuongeza hela za vijana kusoma elimu za juu
Amewataka watu wa Halmashauri kutoa mikopo mikubwa kwa vikundi vichache ili vijana waweze kufanya miradi yao
Aidha amesema watajenga vyuo vya ufundi(VETA) na kuongeza hela za vijana kusoma elimu za juu