Rais Samia usilalamike, unachokisikia ndio kinasemwa nchi nzima, kubali tu yaishe!

Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Exactly 💯
 
Hahahaha mkuu nakuona ukiamini sukuma gang Wana nguvu sana hahahaha hivi ni vichekesho kama vile vya Voda/tigo tu .

Hawana lolote na hawajawahi kuwa na lolote Hawa wa kupiga chini

Stori za wabunge ni zao la magu na Bado wanaamini kwenye upuuzi wa magu ni stori za kitoto tu sijui watapitisha azimio hawana imani na raisi (wakati wanapitisha ye amekaa tu akiwasubiri wajikusanye kusanye ) anawaachaje kulifuta bunge

Mkuu kifupi we ni mnufaika wa sukuma gang na unawapigia promo kijanja hawa wapuuzi wataondoka mmoja baada ya mwingine na hawatakuwa na Iyo nguvu uisemayo (wakitoka tu nje ya mfumo kwisha habari yao)
Kama hujui Hili kundi Lina kura zaidi ya asilimia 60 anzia Mwanza, Mara, Geita, Simiyu, Tabora , Dodoma, Shinyanga,Katavi, kigoma, Morogoro, Kagera unafikili hizo kura ni Chache?
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Dkt Magufuli aliweza kuongoza vizuri bila kutegemea makundi. Hao wapinzani waliishiwa kabisa sera kwa sababu Dkt Magufuli alikuwa upande wa wananchi. Mama alichokosea kabisa kwanza ni kuafiki kwake bila kukemea Dkt Magufuli kutukanwa (Dkt Magufuli aliwa kukemea na kupiga marufuku kumtukana au kumkejeli Dkt JK). Lakini Mama akaenda mpaka kupiga picha na Mange mtu ambaye system inamchukulia ni msaliti maana hakuwa na jema kwa nchi. Pia Mama kakubali kuingizwa mkenge na wahuni wa kuwatungia jina la SUKUMA gang wale wote wanaoamini ktk uzalendo kwa nchi hii kitu ambacho alipaswa akemee haraka sana hizo kejeli. Alikubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kwa kumuita eti mwendazake etc. labda kama ilikuwa ni mfumo ili kupembua, ila ni muhimu sana tena sana yeye kutambua yeye na Dkt Magufuli ni kitu kimoja, na wananchi walikuwa wanamkubali sana Dkt Magufuli. Yaani ni kama Dkt JK 2005, yaani wananchi walipiga kuta kwa Dkt JK tu. Ndiyo maana Mama anapaswa ausome mchezo mapema maana wahuni wamemtengenezea matukio mabaya mabaya ili aonekane hafai (mfano lile la prof mkenda, machinga, kuchoma masoko, kutaka kulazimisha mgao wa umeme, kulazimisha mgao wa maji, chanjo ya korona na kutaka kulazimisha lockdown). Kikubwa tuungane kumuombea Mama aweze kuendelea na kushinda 2025.
 
Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Mama atakuwa anafanya kikao labda na waheshimiwa akina Makamba ambao wanachuki binafsi na Dkt Magufuli. Kwa ufupi hilo neno la sukuma gang ni baya sana tena Mama anapaswa apige marufuku lisitumike kwa sababu sukuma gang ni wafuasi wa Dkt Magufuli ambao ni TISS wote, Wanajeshi wote hata yeye Mama ni sukuma gang, ina maana wanapomuambia awaondoe ina maana hata yeye hafai. Yaani utaona tu Makamba alivyoingia na kusema eti TANESCO ilikuwa imechafuka, ndiyo Kalemani alikuwa mkuda maana hata simu za watu alikuwa hapokei, yaani alikuwa anajifanya mbabe kwa kulazimisha vitu vya ajabu ila kuna vitu alifanya vizuri si kwa kiwango cha kudhalilishwa.
 
Uzuri wa watz huwa hawajali nani yuko madarakani na ni wa chama gani, wao wanachojali ni maisha yao yaende tuu.

Uzuri wa watz hawaandamani road ila huo msusio watakaokupa utajuta mwenyewe, utapigwa vita ya kidiplomasia ndani kwa ndani mpaka ukome.

Sasa mama walimuingiza chaka kwenye haya mambo:


1. Tozo za miamala
2. Kuwafurusha wamachinga
3. Mfumuko wa bei unaopanda kila mwezi hasa mafuta
4. Kubwa kuliko ni kesi ya ugaidi ya FAM, ambayo hata darasa la 7 anaona "hapa hamna kitu".
5. Kuendelea kufanya kazi na 90% ya awamu iliyopita.


Hayo mambo juu yasiposawazishwa 2025 % ya kushinda ni <20% hata atumie goli la mkono.
Suala la ujenzi wa Bagamoyo lenye utata na joto la kisiasa nalo limechangia mno kupunguza umaarufu na kumrudisha Makamba na upunguzaji wa kasi ya miradi km Bwawa la Rufiji nayo inapaswa kuendelezwa kwa nguvu kwa maslahi ya taifa kwa vile ni CCM ile ile ndiyo iliyobariki. Political calculations zinakosekana kwa sasa. Hakuna kitu kibaya kupindua mambo yaliyoanzishwa na marehemu kwa watanzania kimtizamo.
 
Dkt Magufuli aliweza kuongoza vizuri bila kutegemea makundi. Hao wapinzani waliishiwa kabisa sera kwa sababu Dkt Magufuli alikuwa upande wa wananchi. Mama alichokosea kabisa kwanza ni kuafiki kwake bila kukemea Dkt Magufuli kutukanwa (Dkt Magufuli aliwa kukemea na kupiga marufuku kumtukana au kumkejeli Dkt JK). Lakini Mama akaenda mpaka kupiga picha na Mange mtu ambaye system inamchukulia ni msaliti maana hakuwa na jema kwa nchi. Pia Mama kakubali kuingizwa mkenge na wahuni wa kuwatungia jina la SUKUMA gang wale wote wanaoamini ktk uzalendo kwa nchi hii kitu ambacho alipaswa akemee haraka sana hizo kejeli. Alikubali watu wamdhihaki Dkt Magufuli kwa kumuita eti mwendazake etc. labda kama ilikuwa ni mfumo ili kupembua, ila ni muhimu sana tena sana yeye kutambua yeye na Dkt Magufuli ni kitu kimoja, na wananchi walikuwa wanamkubali sana Dkt Magufuli. Yaani ni kama Dkt JK 2005, yaani wananchi walipiga kuta kwa Dkt JK tu. Ndiyo maana Mama anapaswa ausome mchezo mapema maana wahuni wamemtengenezea matukio mabaya mabaya ili aonekane hafai (mfano lile la prof mkenda, machinga, kuchoma masoko, kutaka kulazimisha mgao wa umeme, kulazimisha mgao wa maji, chanjo ya korona na kutaka kulazimisha lockdown). Kikubwa tuungane kumuombea Mama aweze kuendelea na kushinda 2025.
Kazi ya kumuombea Hangaya nani afanye?
Huyu anaemdhihaki Magufuli au Hangaya mwingine unamaanisha?
 
Mmmh aisee, Magufuli alikuwa ni binadamu kama binadamu wengine yaani km mimi na wewe, mwanadamu yeyote kufa ni lazima wala si hiari, hivyo hata km alizungukwa na ulinzi wa namna gani hakuna awezaye kuzuia kifo haijalishi kinakuja kwa namna gani! Sidhani km kuna haja sana ya kujiuliza huyu Hayati Magufuli alikufaje
Kifo chake kimegubikwa na utata ikiwa wasaidizi wake walijaribu kukificha ficha toka hatua za awali za yeye kupelekwa hosipitali na ikiwa mara ya mwisho alionekana bandarini akiwa buheri wa afya!
 
Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Umesema ukweli kabisa mkuu. Wabunge wengi walioko mjengoni walipata mteremko ndani ya chama, na kwa wananchi kwa sababu ya Magufuli (rip), hata wao wenyewe wanalijua hilo. Ule upepo wa JPM ulikuwa unavuma kivingine kabisa huko mitaani. Kwa hiyo kumshauri rais Ssh asifanye kazi na watu wa JPM ni kumchimbia kaburi.
Watu wengi huku mtaani wanamnanga kwa sababu wanamwona amejitenga sana na mtangulizi wake, ambaye yeye alikuwa makamu wake. Rais Samia anapaswa kufanya kazi kwa ukaribu sana na watu aliochaguliwa nao, na kujikita zaidi kwenye kutekeleza ilani yao ya uchaguzi.
 
Amefanya vizuri.Bila ya kulalamika tusingejua kuwa ufisadi mkubwa ulianzia kwenye awamu ya tano ya Bwana Chato😁😁😁
 
Ni kweli hawamuezi lakini asipokuwa makini watamsumbua sana, yeye alikuwa anatakiwa angalau awatendee wapinzani mazuri ili waweze japo kuwa naye pamoja kwenye kuliponya taifa, sasa huku nako ameharibu hasa kwenye kesi ya mbowe, ki ukweli, mtaani watu yale matumaini yao juu yake yamepotea sana!!
Hapo kuhusu wapinzni na hasa Mbowe amechemka sana.
Ila wapinzani wa ndani ya chama chake anawanyoosha.
 
Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
watu hatar kwa mama ni sukuma gang. alitakiwa awafagie wote. maana bado hawaamin kama yule Mungu alishakufa. na hawako tayar kuona maono ya mama. wanataka mama aende na mfumo wao.
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!
Sehemu kubwa ya matatizo amejisababishia yeye mwenyewe kwa kutokuwa na msimamo unaojulikana, na badala yake akawa anayumbayumba tu kama bendera na upepo.

Alipoanza, akawa anajitambulisha yeye na mtangulizi wake ni kitu kimoja kwa maneno, huko vitendo vikionyesha tofauti. Hii ilionyesha alitamani kurekebisha yale aliyoona hayafai katika yale yaliyokuwa yakifanywa na mtangulizi wake. Hili lilipelekea baadhi ya watu waanze kumtazama kwa karibu zaidi na kuwa na matumaini juu yake.

Wakati hajatulia vizuri ili atekeleze hayo aliyotaka kurekebisha, kama kufuta mashtaka kwa watu ambayo kesi zake hazikueleweka; mara ghafla kisharukia kwenye yale yale ambayo watu walidhani yanamchukiza. Mbowe kawekwa gerezanikihuni kihuni, pengine kuliko hata ilivyokuwa ikifanyika wakati wa dikteta Magufuli.

Watu wakawa wamechanganyikiwa na hawajui Samia anasimamia wapi.

Kuna mambo mengine yaliyoambatana na safari yake ya Kenya yaliyofanya watu wengine kumtazama kwa jicho la wasiwasi kutokana na aliyokuwa akitamka wakati wa ziara hiyo. Kiongozi mgeni, na hasa anayepokea uongozi ambao hakujinadi yeye mwenyewe kwa wananchi hupashwa kuwa na subira nayo. Huwezi kuingia mara moja na kutaka ubadili kila kitu kufuatana na matakwa yako.

Samia kajitambulisha yeye ni rais anayejali maslahi ya walanguzi/madalali na wapigaji kuliko maslahi ya wananchi wa kawaida. Hili nalo limestua watu na kuanza kuwa na wasiwasi juu yake.

Rais Samia Suluhu Hassan, kaingia akiwa na haraka ya kufanya yake ambayo ni tofauti na yale ya mtangulizi wake. Sijui haraka hii ni ya nini, na haieleweki itamfikisha wapi.

Sasa itabidi achague, ili kurudisha matumaini ya watu kwake. Akichagua kupambana kwa dhati na hawa wanaotafuta kila njia ya kuzoa mali za waTanzania, na akaonekana kweli kasimama kidete bila kujali muhusika, watu watarudi kwake. Na kama atataka kuwa Rais wa hilo kundi linalotumia kila mwanya wa kuwadumaza wananchi katika vipato vyao, sina shaka yoyote hapo atakutana na mapambano mazito zaidi katika miaka hii michache kabla ya 2025.
Mimi namuomba asimame na wananchi, asimamie kwa dhati kabisa juhudi za wananchi kuleta maendeleo ya nchi hii. Wawekezaji wenye hadhi zaidi ya wote ni wananchi wenyewe, hao wanaompapatisha ni kuunga tu juhudi za wananchi wetu.

Yeye anasema: "Tanzania inahitaji zaidi Wawekezaji wa nje, kuliko Wawekezaji wanavyoihitaji Tanzania"
? Nadhani haelewi umuhimu wa Tanzania ulivyo kwa wawekezaji hao. Ndiyo, ni sawa kuweka mazingira mazuri ya kuwavutia waje, lakini hii haina maana ya kwamba thamani ya Tanzania kwa wawekezaji hao ni ndogo kuliko uwekezaji wanaouleta wao.
 
Mnapokosea ni ile kusema ati asifanye kazi na watu wa Maguguli.I can tell you hapo mnakosea sana na mnataka kumwangusha.Wabunge wote waliyopo ni wa Magufuli.sasa unaposema ati asifanye kazi na watu wamagufuli what do you mean ?Hivi wakitaka kumwangusha si ni kupitisha azimio kule bugeni kuwa hawana Imani na Rais? What is so wrong akifanya kazi na watu wa Magufuli? Guys acheni kumpotosha rais wetu.Na akifanya vita na watu wa Magufuli vita hii itamshinda vibaya sana.Yawezekana kuna mahara JPM alikosea lakini makosa yake ni 5% ya mabaya yake compared to 95 % ya mazuri aliyoifanyia nchi hii.She better be careful na watu wa Magufuli. Mnapokosea etu watu wa Magufuli ni wasukuma.you are 100% wrong.

Hata wabunge wanaojifanya kuwa wanamchukia JPM wakati yeye ndiye aliyewapitisha na kuwanadi kwa waanchi,nao mwisho wao 2025.Nawashauri wafanye kazi kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020 ,mambo mengini hayana faida kwa taifa letu.
Mama ukifanya vita na watu wa Magufuli iko siku watakurushia bomu la shutuma hutapona walahi.
Umeandika uzuri cc Erythrocyte chukua notes
 
Leo kwa mara ya kwanza Rais Samia amekuja hadharani na kukiri wazi kuwa anaongoza serikali iliyogawanyika vibaya, amezungukwa na wasaidizi wanao mhujumu wazi wazi na yuko kwenye vita kali ya kuupambania urais wake kwa hali na mali. Hali ni tete mnoo kwake, na hatakubali!

Bila kumumunya maneno, wacha tuuseme ukweli ili kumsaidia Rais Samia popote alipo na ikibidi utafute njia ya kutokea.

Kwanza niweke wazi jambo moja kubwa na muhimu, kwa sasa Rais Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka makundi yote muhimu ya kijamii na kisiasa, yaani umechokwa. Hili halina ubishi na halihitaji takafari yote yote kubwa.

Kitendo cha mama Samia kuja hadharani na kukiri kuwa 'wenzake wanamzunguka' hivyo hatakubali! Hapo tunaona picha kubwa moja tu, maji yamezidi unga na mama Samia anahitaji msaada ili avuke.

Sasa kuna jambo moja kubwa pekee linaloweza kumuokoa mama Samia mahali alipo, hana ujanja inabidi alikimbilie. Kwa ufupi, jambo hilo ni;

Kutafuta muafaka wa kitaifa ili kuweza kuiunganisha nchi iliyoparaganyika vibaya kisiasa. Kama Samia hataweza kukaa na kumaliza tofauti zake na kundi kubwa la wafuasi wa Magufuli (sukuma gang) au wapinzani (hususani Chadema) basi ajue hawezi kutoboa. Hayo ndio makundi yenye nguvu kwenye siasa za Tanzania kwa sasa, na kwa sasa yote mawili kwa pamoja (pasipo kuongozwa na mtu yoyote) yanasema wazi wazi kuwa mama Samia hafai, hatoshei kwenye kiti cha urais na hayamtaki tena. Huo ni uasi wa kisiasa.

Wakati ukuta, na majuto ni mjukuu, wenye hekima wameshaelewa!

Samia mwenyewe ni chaguo la Magufuli na ni mtu wa awamu ya 5 kuhusu awamu ya 6 kajitungia mwenyewe kwa malengo yake binafsi. Yeye ni Rais wa 6 sio awamu ya 6, Usaliti kwa Magufuli ndio unaomtesa ajue hilo Mungu habagui. Unaweza kuwa snitch kisha ukafanikiwa, ni aibu sana akome tena wambomoe kweli hadi amkumbuke Magufuli.
 
Back
Top Bottom