mathewa
JF-Expert Member
- Sep 5, 2012
- 775
- 1,167
Mkuu acha kutoa tuhuma ambazo huwezi kuzidhibitisha.
Soma uelewe kazi za hao machifu.
Kila kitu kipo wazi.
Dini za wazungu ndo zinakupumbaza kuona utamaduni wetu haufai.
Una tatizo katika mtazamo wako.
Pia Afrika viongozi walikuwepo kabla ya ukolon.
Soma historia ya mtwa Mkwawa alivyopambana kupinga ukoloni.
Soma uelewe kazi za hao machifu.
Kila kitu kipo wazi.
Dini za wazungu ndo zinakupumbaza kuona utamaduni wetu haufai.
Una tatizo katika mtazamo wako.
Pia Afrika viongozi walikuwepo kabla ya ukolon.
Soma historia ya mtwa Mkwawa alivyopambana kupinga ukoloni.