Hakika hatuwezi kutajirika kwa kufanya kila kitu pekee au kuishi kama kisiwa, lakini vile vile hatuwezi kushindana pasipo na mazingira yaliyo ya usawa na rafiki.Ni jibu tosha la hoja yake Phillipo Bukililo, kwamba tuwe makini na Wakenya ambao hadi kesho wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani. Wayatendayo kwa jirani zao mipakani (Uganda, Tanzania, Somali) yanatosha kueleza jinsi walivyo. Isitoshe tuna majirani zaidi wa kufanya nao biashara kuliko Kenya.

Swali la kujiuliza ni kwa nini Uhuru ghafla alimwarika Rais SSH mara tu baada ya kuhutubia Bunge letu?
Wauza mahindi wetu wenye soko la uhakika huko Kenya sidhani kama hata wanasoma maoni yetu ya jamii forum.

Watu waliokwisha kuchanganyikiwa wakijua soko la mazao yao limetoweka hawana muda wa kufuatilia Kenya ni jirani wa namna gani.

Sisi wenyewe watanzania tunapojadiliana namna tunavyofanyiana mambo ya hovyo sisi kwa sisi, sidhani kama tunakuwa na haki ya kimaadili ya kuhukumu majirani.

Mwalimu Nyerere aliwahi kuongelea juu ya usisi wetu tunapoongelea wengine lakini tunapokuwa wenyewe kwa wenyewe tunagundua kuwa huo usisi wetu ni mwepesi sana.
 
Hakuna nchi duniani, isiyojali raia wake kisa kuwekeza. Mataifa makubwa uangalia kuwapa uwezo raia wake wawekeze. Hakuna nchi iliyoendelea kwa uwekezaji toka nje. Si mara ya kwanza Kenya kuwekeza. Angalia miradi walio wekeza mfano kiwanda cha maziwa Arusha. Maziwa yanachukuliwa na wanaandika made in Kenya. Parking inafanyika Kenya. Kisha wanarudi kutuuzia.
Wameuwa general tyre. Kuna Insurance agency moja. Miaka ya nyuma kuanzia mkurungezi hadi karani walikuwa wakenya. Na huyu boss alikuwa rafiki yangu. Wote walofanya kazi walikuwa wakikuyu. Wanaukabila sana.
Nilishuhudia balozi wa Kenya waki lobby na kuongea na wafanya biashara kutumia bandari ya Mombasa bila balozi kutoa taarifa kuwa atakuwa na maongezi sehemu fulani ktk mkoa husika. Wakenya ni wajanja sana.
Mara ngapi wameingiza watalii wengi ktk mbuga na mlima kilimanjaro. Miaka fulani nimekutana na watalii wakanambia walipanda mlima Kilimanjaro kupitia Kenya na kutembelea Serengeti.
Tulipoteza kodi kiasi gani na hao wakenya wenu. Uwezi fungulia milango kiasi hicho. Kikubwa nchi yetu iangalie kuwawezesha wananchi waweze wekeza ndani. Hii inawezekana.
Angalia nchi ilovunja umoja wa Afrika Mashariki ilikuwa Kenya kwa tamaa zao. Wakakatalia baadhi ya mali za Afrika mashariki. Kenya inajua Tanzania ndo mshindani wake. Hivyo hawatatupenda toka moyoni. Sikatai uwekezaji lakini tuwe makini. Uwezi mfurahisha kila mtu. Wakenya si mara ya kwanza kuwa na tofauti. Tumekuwa nao tofauti toka kipindi cha Nyerere. Kuna wakati tulikuwa na vita ya maneno. Hadi kuitana Nyang'au. Tulikuwa na vita ya maneno na Malawi hao wote jirani. Uwezi kumchekea kila jirani ati diplomasia. Uchumi wa kidiplomasia si kuchekeana. Angalia Marekani na China.
Nguvu ya serikali ingekuwa kutafuta masoko na ku set standards tu basi watu wawezeshwe kuzalisha bidhaa bora na soko liwepo la uhakika huko nje!

Ila kuboresha process hawataki wanakimbilia shorcut za kualika wawekezaji kutoka nje! Tena bora mzungu awekeze maana wanalipaga vizuri kuliko ngozi nyeusi maana watu watafurahia kupata ajira kumbe ni vibarua vya kulipwa elfu 5 kwa siku nzima! Upumbavu ulioje!

Hao wa Kenya wanao export wao wanatumia mbinu gani kupata hayo masoko nje? Je, wao wana pesa ambazo sisi hatuna? Wao wana uwezo mkubwa wa ku Lobby ambao sisi tunaushindwa? Tumekazania wachina ni ndugu zetu, Wakenya ni ndugu zetu! We have to learn on how they do it!

Bongo itaendelea kuwa nchi ya hovyo tu na siasa za kipumbavu mithili ya demu mrembo anaedanganywa ataolewa na kugongwa na kila mjanja na kuachwa huku miaka inaenda tu!
 
Wewe wasema nchi ni tajiri, hivyo hutofautiani na Rais aliyesema WaTz hawana mitaji ya kuwekeza kwenye ardhi na madini. Ila kumbuka Hayati alisisitiza nchi ni tajiri akaanza kujenga mazingira ya kuwawezesha WaTz kuwa mabilionea.

Kwa kufungua milango wazi ya uwekezaji, hata kwenye rasmali za nchi (ardhi, madini, mbuga za wanyama, nk - ndio utajiri wenyewe) ndoto hiyo ya hayati inayeyuka.
Mazingira yapi Hayati alianzisha kuwafanya Watanzania kuwa Mabilionea, zaidi sana tulikuwa tunasikia vilio biashara zikifungwa kila kukicha.
 
Rais wangu,na mama yangu Samia,kwanza nakupongeza sana kwa hatua uliyochukua ya kuanza kuboresha mahusiano ya kidiplomasia na Kenya kwa sababu yalianza kufa kimya kimya, yaani Tulikuwa na uhusiano wa kinafiki,ktk hili sina muda wa kulieleza kwa kina kwa sababu lipo wazi kabisa.

Rais wangu,Tasnia ya mahusiano ya Taifa na Taifa inahitaji akili nyingi sana,kwa sababu, ktk slogan ya kijasusi kila Taifa la jirani yako ni adui yako,kwa maana ya kwamba linaweza hata kutumika kukupiga na adui wa mbali.

Hii ina maana ya kwamba,tunakuwa majirani na ndugu tusioaminiana kwa kila kitu.

Ktk vinywa vyetu sisi ni marafiki wa kufa na kuzikana, ila ktk uhalisia sisi ni adui.
Rais wangu, Kenyatta ni Rais mwenye akili mno na mwingi wa hekima, kwa nje utamwona kawaida, lakini Kenyatta ni bonge la Intelligent.

Rais wangu, hakuna anayeweza kukueleza ukweli, kwa sababu Chama chenu kina slogan ya kusifia kila kitu, hiyo imefanya hadi idara ya usalama wa Taifa TISS,kuwa dhaifu kupindukia.

Rais wangu,hivi unajua kuwa, Kenya kwa miongo mingi mno iliyopita imekuwa ikiitamani sana ardhi ya Tanzania? Unaposema kuwa unawakaribisha Wakenya wawekeze kwenye madini,maana yake ni kwamba unawapa mwanya wa kumiliki ardhi ya Tanzania ili watimize ndoto zao,ktk hili hapana,waite Wa Australia,Wamarekani, Waingereza,Wa Canada, lakini siyo Kenya ktk sekta ya madini.

Wakenya na Wachina hawana Tofauti, mimi nimeolea kenya,mke wangu ni mkikuyu,Tulikutana Australia,na wala hajui kuwa jina langu fake ni "My son drink water",nawajua vizuri sana hawa watu,hawana Tofauti na Watusi, ukweli unauma ila hauna budi kusemwa.

Rais wangu, ziara yako Kenya ilikuwa ni ya manufaa ya Kenya na si Tanzania, Kenyatta alikuwa ameshafanya calculation nzuri sana, kitaalamu inaitwa,"Pretend that you need them more, while your intention is to suck their Blood".

Sikatai kwamba Wakenya wasiwekeze Tanzania, ila hawa watu ni wajanja kama nyoka.

Message sent and Delivered
Nilikuwaga nakuheshimu leo heshima yangu kwako naiweka chini. Unaogopa kenya kama Marekani?
 
Hakuna nchi duniani, isiyojali raia wake kisa kuwekeza. Mataifa makubwa uangalia kuwapa uwezo raia wake wawekeze. Hakuna nchi iliyoendelea kwa uwekezaji toka nje. Si mara ya kwanza Kenya kuwekeza. Angalia miradi walio wekeza mfano kiwanda cha maziwa Arusha. Maziwa yanachukuliwa na wanaandika made in Kenya. Parking inafanyika Kenya. Kisha wanarudi kutuuzia.
Wameuwa general tyre. Kuna Insurance agency moja. Miaka ya nyuma kuanzia mkurungezi hadi karani walikuwa wakenya. Na huyu boss alikuwa rafiki yangu. Wote walofanya kazi walikuwa wakikuyu. Wanaukabila sana.
Nilishuhudia balozi wa Kenya waki lobby na kuongea na wafanya biashara kutumia bandari ya Mombasa bila balozi kutoa taarifa kuwa atakuwa na maongezi sehemu fulani ktk mkoa husika. Wakenya ni wajanja sana.
Mara ngapi wameingiza watalii wengi ktk mbuga na mlima kilimanjaro. Miaka fulani nimekutana na watalii wakanambia walipanda mlima Kilimanjaro kupitia Kenya na kutembelea Serengeti.
Tulipoteza kodi kiasi gani na hao wakenya wenu. Uwezi fungulia milango kiasi hicho. Kikubwa nchi yetu iangalie kuwawezesha wananchi waweze wekeza ndani. Hii inawezekana.
Angalia nchi ilovunja umoja wa Afrika Mashariki ilikuwa Kenya kwa tamaa zao. Wakakatalia baadhi ya mali za Afrika mashariki. Kenya inajua Tanzania ndo mshindani wake. Hivyo hawatatupenda toka moyoni. Sikatai uwekezaji lakini tuwe makini. Uwezi mfurahisha kila mtu. Wakenya si mara ya kwanza kuwa na tofauti. Tumekuwa nao tofauti toka kipindi cha Nyerere. Kuna wakati tulikuwa na vita ya maneno. Hadi kuitana Nyang'au. Tulikuwa na vita ya maneno na Malawi hao wote jirani. Uwezi kumchekea kila jirani ati diplomasia. Uchumi wa kidiplomasia si kuchekeana. Angalia Marekani na China.
Chief, nimesema hayo yote yafanyike kwa utaratibu, biashara zote zinafanyika kwa ujanja, hata sisi Watanzania wenyewe kwa wenyewe tunafanyiana biashara kiujanja, chukulia mfano mdogo tu kwamba Diamond anawanyonya waliochini yake, wengine wanasema marehemu Ruge alikuwa anazulumu wasanii, huo ndio mwendo wa biashara, hatuwezi kuogopa kuingia kwenye ushindani kwa sababu hao Wakenya wapo na watakuwepo tu, cha msingi tuweke sheria madhubuti na viongozi wetu wazisimamie inavyotakiwa.
 
Rais wangu,na mama yangu Samia,kwanza nakupongeza sana kwa hatua uliyochukua ya kuanza kuboresha mahusiano ya kidiplomasia na Kenya kwa sababu yalianza kufa kimya kimya, yaani Tulikuwa na uhusiano wa kinafiki,ktk hili sina muda wa kulieleza kwa kina kwa sababu lipo wazi kabisa.

Rais wangu,Tasnia ya mahusiano ya Taifa na Taifa inahitaji akili nyingi sana,kwa sababu, ktk slogan ya kijasusi kila Taifa la jirani yako ni adui yako,kwa maana ya kwamba linaweza hata kutumika kukupiga na adui wa mbali.

Hii ina maana ya kwamba,tunakuwa majirani na ndugu tusioaminiana kwa kila kitu.

Ktk vinywa vyetu sisi ni marafiki wa kufa na kuzikana, ila ktk uhalisia sisi ni adui.
Rais wangu, Kenyatta ni Rais mwenye akili mno na mwingi wa hekima, kwa nje utamwona kawaida, lakini Kenyatta ni bonge la Intelligent.

Rais wangu, hakuna anayeweza kukueleza ukweli, kwa sababu Chama chenu kina slogan ya kusifia kila kitu, hiyo imefanya hadi idara ya usalama wa Taifa TISS,kuwa dhaifu kupindukia.

Rais wangu,hivi unajua kuwa, Kenya kwa miongo mingi mno iliyopita imekuwa ikiitamani sana ardhi ya Tanzania? Unaposema kuwa unawakaribisha Wakenya wawekeze kwenye madini,maana yake ni kwamba unawapa mwanya wa kumiliki ardhi ya Tanzania ili watimize ndoto zao,ktk hili hapana,waite Wa Australia,Wamarekani, Waingereza,Wa Canada, lakini siyo Kenya ktk sekta ya madini.

Wakenya na Wachina hawana Tofauti, mimi nimeolea kenya,mke wangu ni mkikuyu,Tulikutana Australia,na wala hajui kuwa jina langu fake ni "My son drink water",nawajua vizuri sana hawa watu,hawana Tofauti na Watusi, ukweli unauma ila hauna budi kusemwa.

Rais wangu, ziara yako Kenya ilikuwa ni ya manufaa ya Kenya na si Tanzania, Kenyatta alikuwa ameshafanya calculation nzuri sana, kitaalamu inaitwa,"Pretend that you need them more, while your intention is to suck their Blood".

Sikatai kwamba Wakenya wasiwekeze Tanzania, ila hawa watu ni wajanja kama nyoka.

Message sent and Delivered
Kea Nini hujazungumzia Watanzania kama wewe kwenda kufanya kazi na biashara kenya freely?
 
Mazingira yapi Hayati alianzisha kuwafanya Watanzania kuwa Mabilionea, zaidi sana tulikuwa tunasikia vilio biashara zikifungwa kila kukicha.

Mwenye macho haambiwi .... na Mwenye masikio haambiwi ...

Yafuatayo ni baadhi ya mazingira wezeshi ya kutengeneza mabilionea:
√ Kutekelezwa kwa miradi ya kimkakati yenye tija kubwa katika uchumi na
ustawi wa jamii;
√ Ujenzi wa miundombinu ya kisasa utakaochochea kukua kwa kasi kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla;
√ Kuimarishwa kwa mifumo ya udhibiti, usimamizi na umiliki wa rasmali za nchi zitumike kwa ajili ya Watanzania; na
√ Kuboreshwa kwa Huduma za Jamii (afya, elimu, maji, nishati) kiasi cha kuwawezesha wananchi kufanya shughuli zao za maendeleo
 
We Mtu zamani nilikuwa nakuona wa maana sana lakini tangu uje na utopolo wako wa kujaribu kunichafua, na ukaangukia pua, nimekuona mbabaishaji flani.

Kuna genge la waganga njaa mliokuwa mnanufaika na siasa za chuki. Mlipata fedha za mabeberu kwa jina la kupigania demokrasia. Sasa Mama Samia anapita mlemle mlikukua mnatumia kupatia fedha, mnatweta. Sooner than later mtaishia kutengwa na jamii, kwa sababu itabainika kuwa tatizo lenu si uongozi wa Mama Samia bali maslahi yenu binafsi.

Wenye akili hubadilika kuendana na wakati. Yes, CCM ni ileile lakini it's the person at the helm who really matters, na so far, Mama Samia ameonyesha mwelekeo mzuri.
Mkuu, sijawahi kukuchafua, Tatizo ulini misunderstand
 
Mleta mada ulitakaje?
Ulitaka Mama asiwakaribishe wakenya kuwekeza kwenye madini? Akiwekeza mchina au mmarekani ndio atatuonea huruma?

Ulitaka wakenya wasije Tanzania kuwekeza kwenye maelfu ya ardhi yetu ambayo hatuitumii ipasavyo?

Kwani sheria zetu hapa Tanzania zinabagua wawekezaji kwa misingi ya utaifa wao?

Ukweli ambao unaopaswa kuufahamu ni huu.
1. Wawekezaji wengi wa ndani na nje ya tanzania (hususani wakenya) walikimbia kuwekeza hapa Tanzania kipindi cha Magufuli. Sio rahisi tena kurejea, na njia rahisi ni Rais wa sasa kupiga promo ili warejee. Na wawekezaji wa kweli na uhakika wa nje ni wakenya, wanaijua vyema Tanzania na rahisi mnoo kufanya biashara na watanzania.

2. Kenya ni miongoni mwa wawekezaji wakuu hapa Tanzania tokea tunapata uhuru. Tanzania haiwezi kuikwepa Kenya daima. Lazima ufanye lobbying ya kuwavutia waje Tanzania. Wakenya wanaitamani ardhi yetu na madini yetu. Washawishi waje wawekeze.

3. Serikali ya Tanzania kwa sasa ina ukata mkubwa na i(natabiriwa ukata utaongezeka zaidi), mapato yameshuka, ukuaji wa uchumi umedorora, madeni yameongezeka, uwekezaji umeporoka na matumizi ya serikali yameongezeka maradufu. Jawabu la kiuchumi ni moja tu, watu waje kuwekeza tena hapa nchini ili pesa ije mtaani na serikali ikusanye kodi.

4. Mama anapambana kurejesha imani iliyokuwa imepotea baina ya Tanzania na wahisani, majirani na mabeberu. Ameanza ziara na majirani (Kenya, Uganda na wakati wowote atakwenda DRC, Rwanda au Zambia), anafanya mazungumzo na wahisani (WB, IMF, European union, US). Hana ujanja, serikali ina njaa kali.
Mkuu,huwajui Wakenya na Wachina pia huwajui...
 
Rais wangu na mama yangu Samia, kwanza nakupongeza sana kwa hatua uliyochukua ya kuanza kuboresha mahusiano ya kidiplomasia na Kenya kwa sababu yalianza kufa kimya kimya, yaani Tulikuwa na uhusiano wa kinafiki, ktk hili sina muda wa kulieleza kwa kina kwa sababu lipo wazi kabisa.

Rais wangu, Tasnia ya mahusiano ya Taifa na Taifa inahitaji akili nyingi sana, kwa sababu ktk slogan ya kijasusi kila Taifa la jirani yako ni adui yako, kwa maana ya kwamba linaweza hata kutumika kukupiga na adui wa mbali.

Hii ina maana ya kwamba, tunakuwa majirani na ndugu tusioaminiana kwa kila kitu.

Ktk vinywa vyetu sisi ni marafiki wa kufa na kuzikana, ila ktk uhalisia sisi ni adui.

Rais wangu, Kenyatta ni Rais mwenye akili mno na mwingi wa hekima, kwa nje utamwona kawaida, lakini Kenyatta ni bonge la Intelligent.

Rais wangu, hakuna anayeweza kukueleza ukweli, kwa sababu Chama chenu kina slogan ya kusifia kila kitu, hiyo imefanya hadi idara ya usalama wa Taifa TISS kuwa dhaifu kupindukia.

Rais wangu, hivi unajua kuwa, Kenya kwa miongo mingi mno iliyopita imekuwa ikiitamani sana ardhi ya Tanzania? Unaposema kuwa unawakaribisha Wakenya wawekeze kwenye madini, maana yake ni kwamba unawapa mwanya wa kumiliki ardhi ya Tanzania ili watimize ndoto zao, ktk hili hapana, waite Wa Australia,Wamarekani, Waingereza, Wacanada, lakini siyo Kenya ktk sekta ya madini.

Wakenya na Wachina hawana Tofauti, mimi nimeolea kenya,mke wangu ni mkikuyu, Tulikutana Australia, na wala hajui kuwa jina langu fake ni My Son drink water nawajua vizuri sana hawa watu, hawana Tofauti na Watusi, ukweli unauma ila hauna budi kusemwa.

Rais wangu, ziara yako Kenya ilikuwa ni ya manufaa ya Kenya na si Tanzania, Kenyatta alikuwa ameshafanya calculation nzuri sana, kitaalamu inaitwa,"Pretend that you need them more, while your intention is to suck their Blood".

Sikatai kwamba Wakenya wasiwekeze Tanzania, ila hawa watu ni wajanja kama nyoka.

Message sent and Delivered
hujaongea chochote cha maana zaidi ya kulalama kama kawaida ya wamandingo.....sasa unawaogopa wakenya mpaka lini?
 
Rais wangu na mama yangu Samia, kwanza nakupongeza sana kwa hatua uliyochukua ya kuanza kuboresha mahusiano ya kidiplomasia na Kenya kwa sababu yalianza kufa kimya kimya, yaani Tulikuwa na uhusiano wa kinafiki, ktk hili sina muda wa kulieleza kwa kina kwa sababu lipo wazi kabisa.

Rais wangu, Tasnia ya mahusiano ya Taifa na Taifa inahitaji akili nyingi sana, kwa sababu ktk slogan ya kijasusi kila Taifa la jirani yako ni adui yako, kwa maana ya kwamba linaweza hata kutumika kukupiga na adui wa mbali.

Hii ina maana ya kwamba, tunakuwa majirani na ndugu tusioaminiana kwa kila kitu.

Ktk vinywa vyetu sisi ni marafiki wa kufa na kuzikana, ila ktk uhalisia sisi ni adui.

Rais wangu, Kenyatta ni Rais mwenye akili mno na mwingi wa hekima, kwa nje utamwona kawaida, lakini Kenyatta ni bonge la Intelligent.

Rais wangu, hakuna anayeweza kukueleza ukweli, kwa sababu Chama chenu kina slogan ya kusifia kila kitu, hiyo imefanya hadi idara ya usalama wa Taifa TISS kuwa dhaifu kupindukia.

Rais wangu, hivi unajua kuwa, Kenya kwa miongo mingi mno iliyopita imekuwa ikiitamani sana ardhi ya Tanzania? Unaposema kuwa unawakaribisha Wakenya wawekeze kwenye madini, maana yake ni kwamba unawapa mwanya wa kumiliki ardhi ya Tanzania ili watimize ndoto zao, ktk hili hapana, waite Wa Australia,Wamarekani, Waingereza, Wacanada, lakini siyo Kenya ktk sekta ya madini.

Wakenya na Wachina hawana Tofauti, mimi nimeolea kenya,mke wangu ni mkikuyu, Tulikutana Australia, na wala hajui kuwa jina langu fake ni My Son drink water nawajua vizuri sana hawa watu, hawana Tofauti na Watusi, ukweli unauma ila hauna budi kusemwa.

Rais wangu, ziara yako Kenya ilikuwa ni ya manufaa ya Kenya na si Tanzania, Kenyatta alikuwa ameshafanya calculation nzuri sana, kitaalamu inaitwa,"Pretend that you need them more, while your intention is to suck their Blood".

Sikatai kwamba Wakenya wasiwekeze Tanzania, ila hawa watu ni wajanja kama nyoka.

Message sent and Delivered

Mama anawajua Wakenya kuliko wewe kwani yeye alikuwa ni sehemu ya Kenya.

Unajua kuwa Mombasa ilikuwa ni sehemu ya Zanzibar hadi 1963 ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom