wazagamba nkoko
JF-Expert Member
- Nov 23, 2021
- 392
- 998
Sina shaka na dhamira yako njema ya kutafuta pesa kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu.
Lakini ndugu Rais hebu punguza safari za nje kidogo ukae ofisini kufuatilia matumizi ya hizo fedha ,umekopa pesa nyingi sana ndani ya muda mfupi ,sasa tulia ufuatilie matumizi yake kama zinatumika kwa usahihi,usiamini wasaidizi wako kwa asilimia zote ya kwamba ni waaminifu ,wapo na wapigaji wa kutosha tu, mwisho wa siku jumba bovu litakuangukia wewe binafsi, ukitulia ofisini utayajua matumizi ya fedha hizo,kisha ukiridhika zinatumika barabara endelea kuzitafuta ,muhimu hakikisha zinafanya kazi sahihi, ikumbukwe walipaji wa fedha hiyo mikopo ni sisi watanzania,hatutakubali kubebeshwa zigo lisilo na faida,na huo ndio utakuwa mwanzo wa anguko lako,
ZINGATIO_pengine ziara hizi za mfululizo ni mkakati maalumu usio ujua dhidi yako,kwani huzipangi wewe ,bali unapangiwa
Lakini ndugu Rais hebu punguza safari za nje kidogo ukae ofisini kufuatilia matumizi ya hizo fedha ,umekopa pesa nyingi sana ndani ya muda mfupi ,sasa tulia ufuatilie matumizi yake kama zinatumika kwa usahihi,usiamini wasaidizi wako kwa asilimia zote ya kwamba ni waaminifu ,wapo na wapigaji wa kutosha tu, mwisho wa siku jumba bovu litakuangukia wewe binafsi, ukitulia ofisini utayajua matumizi ya fedha hizo,kisha ukiridhika zinatumika barabara endelea kuzitafuta ,muhimu hakikisha zinafanya kazi sahihi, ikumbukwe walipaji wa fedha hiyo mikopo ni sisi watanzania,hatutakubali kubebeshwa zigo lisilo na faida,na huo ndio utakuwa mwanzo wa anguko lako,
ZINGATIO_pengine ziara hizi za mfululizo ni mkakati maalumu usio ujua dhidi yako,kwani huzipangi wewe ,bali unapangiwa