Rais Samia, unapoteua zingatia watumishi wa muda mrefu na wenye uzoefu serikalini badala ya kuwatoa mtaani

Hapana..! Kuchanganya ndio njia bora. Hao watendaji wa serikali unaowasema wawepo, na hao wa mtaani pia wawepo, wa private sector wawepo, wa vyama pinzani wawepo, wa jumuiya na asasi za kiraia pia wawepo, nk. Hapo ndipo tutajenga taifa lenye umoja na mshikamano..
 
Mimi naamin wilaya zina watu wanaoweza shika hizo nafasi.

Nakupata sana ndugu yangu.
Naam kaka.....

Kuna wakati inaonekana kama Serikali inakosea kwenye BAADHI ya mambo ila tutambue kuwa Serikali ni ya watu....vile watanzania walivyo ndivyo pia INAAKISI UTENDAJI WA SERIKALI YAO.....

Binafsi ninaamini wanaofanya VETTING ya maDC huwa WANAJIRIDHISHA KWA MENGI....

#CCM IENDELEE KUSHIKA HATAMU
#NCHI KWANZA
#KAZIIENDELEE
 
Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini ,uadilifu ili kutengeneza uzalendo .

kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS,RC’s ,RAS etc .

Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma ,na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo , kilimo , Afya,Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.

Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi ,uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.

mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini . Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.

Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo Jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine .

Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.
Wasanii,mamiss,wachekeshaji ndio wanateuliwa huu ukuu wa wilaya naona umepoteza hadhi siku hizi.wanaokotwa watu kitaa hawa ndio wanaokuja kusumbua wananchi kama akina sabaya.
Hawajui hata utumishi wa umma unaendaje


Hatari sana
 
Ni muhimu sifa za msingi na taratibu zikafuatwa hatua kwa hatua kabla ya mtu kutoka sekta binafsi kupewa nafasi za juu serikalini.
Hizi logic tujiulize.....
1. Ni sekta ipi mhusika amekuwepo? (Yaani mtu ni mtangazi wa Redio au Tv binafsi halafu ghafla anapewa ukuu wa wilaya, logic iko wapi? )

2. Amekuwa akifanya kazi eneo lipi? (Yaani mtu anaishi na kufanya kazi sekta binafsi jijini Dar, ghafla anateuliwa mkuu wa wilaya ya Maswa huko Shinyanga, logic iko wapi?)

3. Hivi mhusika ni lazima apewe vyeo vya kiutawala kama DC, DED, DAS, RAS, RC? (Kwanini mtangazi wa redio au Tv asipewe uhafisa habari wa taasisi ya serikali kwanza, akaingia kwanza mifumo ya utendaji wa serikali, akafunga ndoa ya kiutumishi na serikali, halafu ikibidi na kupendeza huko baadaye ndio akapewa cheo cha kiutawala)
Wakati Jokate anateuliwa ukuu wa wilaya Kisarawe hatukusikia hizi kelele, ... nashangaa kipi kipya saana mama kafanya hata wadau waseme ati sasa hatuna rais?
ACHENI DOUBLE STANDARDS!
1624170633639.png
 
Kwa
Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini, uadilifu ili kutengeneza uzalendo.

Kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS, RC’s, RAS etc.

Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma, na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo, kilimo, Afya, Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.

Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi, uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.

Mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini. Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.

Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine.

Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.
Naunga mkono kwa wale walio onesha ufanisi mzuri wanastahili kuangaliwa
ILA kuna wale watumishi wa kufanya kazi kwa mazoea na kukwamisha mambo mengi yasiende kwenye maofisi ya serikali;
Urasimu mwiiingi usio kuwa na maana na kutojua kuwa wateja/wananchi hawaendi maofisini kwao kuwasumbua BALI ndio kazi iliyowaweka maofisini; hivyo wanatakiwa watoe majibu sahihi na ya haraka
 
Wasanii,mamiss,wachekeshaji ndio wanateuliwa huu ukuu wa wilaya naona umepoteza hadhi siku hizi.wanaokotwa watu kitaa hawa ndio wanaokuja kusumbua wananchi kama akina sabaya.
Hawajui hata utumishi wa umma unaendaje


Hatari sana
Kwani enzi za zamani hawakuwa wakiteuliwa wenye USHAWISHI KATIKA JAMII ?!!

USHAWISHI siku hizi uko kwenye SOCIAL MEDIA....habari na matukio yanafika haraka.....

Sasa hizo enzi za RTD kulikuwa na wasanii wengi zaidi ya akina PWAGU NA PWAGUZI na wenzao wachache ?!!!!

Huko nyuma Mashindano ya uMISS yalikuwa yanaonekana MUBASHARA kiganjani kwa watu walioko VIJIJINI ?!!!!!

#KaziIendelee
#NchiKwanza
 
Kwani enzi za zamani hawakuwa wakiteuliwa wenye USHAWISHI KATIKA JAMII ?!!

USHAWISHI siku hizi uko kwenye SOCIAL MEDIA....habari na matukio yanafika haraka.....

Sasa hizo enzi za RTD kulikuwa na wasanii wengi zaidi ya akina PWAGU NA PWAGUZI na wenzao wachache ?!!!!

Huko nyuma Mashindano ya uMISS yalikuwa yanaonekana MUBASHARA kiganjani kwa watu walioko VIJIJINI ?!!!!!

#KaziIendelee
#NchiKwanza
Sawa sawa ngoja uvccm waendelee kunyooka hawajui hata kinachoendelea
 
Sawa sawa ngoja uvccm waendelee kunyooka hawajui hata kinachoendelea
Wewe ni mataga sio uvccm?
 
Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini, uadilifu ili kutengeneza uzalendo.

Kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS, RC’s, RAS etc.

Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma, na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo, kilimo, Afya, Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.

Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi, uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.

Mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini. Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.

Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine.

Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.

Uliposema Tuu Eti Miaka 20,
Nami Nikakuponda Mnoo Tena Ngoja Nikufungulie Uzi wa Kukupinga!
Eti Uzoefu Miaka 20????
Ungesema Kuanzia Miaka 5Kwenda Mbele na Elimu Fulani hapo Sawa!
Hapo Inaonekana wewe ni Mstaafu mtarajiwa Yaani Soon!
Sasa Unatafuta Chaka la Kustaafia!
Chama Kilichopo Madarakani Kinapanga safu yake chenyewe...Usikipangie...
Ndio Maana Kuna Mafunzo Kazini!
Hatutaki kufanya Kazi kwa Mazoea...
Mengine upo sahihi ila Kwenye 20trs tuu umeonesha Uzee ktk Kazi badala ya Uzoefu!
 
Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini, uadilifu ili kutengeneza uzalendo.

Kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS, RC’s, RAS etc.

Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma, na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo, kilimo, Afya, Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.

Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi, uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.

Mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini. Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.

Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine.

Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.
Kwa jinsi mitandaoni kulivyochafuka, sitoshangaa rais akibadili gia...
 
Hivi nyie wazee mna matatizo gani?,yaan mnataka mn'gan'ganie madarakani mpaka lini?!,achen vijana nao wapate uzoefu kwenye siasa
 
Back
Top Bottom