Mukua
Senior Member
- Sep 30, 2021
- 156
- 202
Ukweli lazima usemwe tu, Kuna kakikundi flani ambako Wana jaribu sana kutumia nguvu ili kuafifisha juhudi na kazi kubwa anayo Ifanya Rais wetu mpendwa.
Kwa muda mfupi aliokaa madarakani amefanya kazi kubwa ya kuirudisha nchi yetu kwenye mahusiano ya kimataifa, mahusiano ambayo yalikuwa yamepotea kabisa, wawekezaji sasa Wana miminika kwa sababu mazingira ya uwekezaji sasa ni rafiki, Jambo ambalo hapo kabla lilikuwa limeharibiwa na kakikundi flani kilicho jificha kwenye joho lauzalendo huku likiwa genge la wizi tu.
Jambo ambalo Watanzania tunapaswa kufanya ni kumshukuru Mungu kwa kulinusuru Taifa letu toka katika mikono ya maharamia wa kiuchumi waliokuwa wamekumbatia na kuhodhi njia zote za kiuchumi, Tena hawakuta kabisa mtu yeyote ajaribu kuhoji matumizi ya fedha za serikali, Jambo ambalo unge jaribu kufanya bila ya Shaka lolote linge kuletea kifo.
Mama Samia chapa kazi, hiki NI kipindi ambacho Kila anaye lipenda Taifa lake lazima atakuunga mkono.
MUNGU MBARIKI RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN
Kwa muda mfupi aliokaa madarakani amefanya kazi kubwa ya kuirudisha nchi yetu kwenye mahusiano ya kimataifa, mahusiano ambayo yalikuwa yamepotea kabisa, wawekezaji sasa Wana miminika kwa sababu mazingira ya uwekezaji sasa ni rafiki, Jambo ambalo hapo kabla lilikuwa limeharibiwa na kakikundi flani kilicho jificha kwenye joho lauzalendo huku likiwa genge la wizi tu.
Jambo ambalo Watanzania tunapaswa kufanya ni kumshukuru Mungu kwa kulinusuru Taifa letu toka katika mikono ya maharamia wa kiuchumi waliokuwa wamekumbatia na kuhodhi njia zote za kiuchumi, Tena hawakuta kabisa mtu yeyote ajaribu kuhoji matumizi ya fedha za serikali, Jambo ambalo unge jaribu kufanya bila ya Shaka lolote linge kuletea kifo.
Mama Samia chapa kazi, hiki NI kipindi ambacho Kila anaye lipenda Taifa lake lazima atakuunga mkono.
MUNGU MBARIKI RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN