Rais Samia umiza akili kuunda serikali yako mpya kabisa achana na hayo magenge

Sawa mkuu,maana wewe ni mzungu wa ulaya huusiki na nchi hii,sisi wananchi wavuja jasho hatutokoma kukemea maana amani ya nchi hii inalindwa na wasema kweli tu na si wanafiki
unavuja jasho gani hali umegoma na unakwepa kulipa toto la miamala. Katika hizo zinazoibiwa wewe zako ngapi?
 
Kipindi dhalimu anateka na kuua watu, huku akiwapa ulaji sukuma gang mbona hukukemea ule uhuni? Saa hii mnapigwa chini na msoga line mnaanza kujifanya mlikuwa na wananchi. Mngekuwa na wananchi mngejigeuza kuwa majizi ya kura? Hakuna mtu anawaunga mkono majizi ya Msoga line, wala nyie majizi na makatili ya sukuma gang.
We ni pimbi KWA kweli,hivi hambakizagi hata akili kidogo vichwani mwenu?Au hyo bange haitokagi kichwani alyways
 
Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.

Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).

Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.

Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!

Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.

Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.

Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.

Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.

Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.

Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
Hebu tutoe ushahidi wana skendo xipi?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
unavuja jasho gani hali umegoma na unakwepa kulipa toto la miamala. Katika hizo zinazoibiwa wewe zako ngapi?
Hata Sasa nimetoka kuibiwa Tozo KWA kukatwa kilazima.
Wewe unaesafiri umbali mrefu kukwepa Tozo huelewi haya mambo
 
Unateseka Sana mkuu,vumilia hadi 2035 ni kwa bahati mbaya na ajali kazini mlipata nafasi mkaharibu saizi mnatapatapa kama mfa maji.
Itoshe kusema tu,nyuzi kama hizi si saizi y'all wewe mjanja mjanja wa mjini kupitia kulamba miguu ya watu
 
Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.

Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).

Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.

Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!

Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.

Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.

Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.

Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.

Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.

Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
Acha uchonganishi mwandishi,

Mwache Rais afanye kazi na yeyote anayemtaka,

Mambo ya magenge hayaishi kwenye siasa
 
Umekuja na uzi wako wa kihanithi ukitarajia kuna mtu atamuunga mkono Yule dhalimu na genge lenu la sukuma gang, dhidi ya vita yenu ya ulaji na Msoga line. Hakuna mtu ana muda wa kuwaunga mkono kambi zenu maana wote uchafu wenu tunaufahamu, msijifiche katikati ya wananchi wakati tunajua uchafu wote wa yule kiongozi muovu aliyeko motoni.
ni pimbi KWA kweli,hivi hambakizagi hata akili kidogo vichwani mwenu?Au hyo bange haitokagi kichwani alyways
 
Ww ni mfaidika wa hili kundi jipya la majizi chini ya bibi maushungi, huyo unayemjibu alikuwa mfaidika wa majizi ya sukuma gang, chini ya utawala wa yule kiongozi muovu aliyeko kuzimu. Kwa ujumla wote ni wezi,na mko madarakani kwa wizi wa kura na maauji ili mkae madarakani kwa shuruti.
Acha uchonganishi mwandishi,

Mwache Rais afanye kazi na yeyote anayemtaka,

Mambo ya magenge hayaishi kwenye siasa
 
Yote yafanyike ila utu na uhai wa mwanadamu uheshimiwe, ulindwe.
Mama pambana na safisha makundi yote maovu, watanzania hatutaki kusikia tena mambo ya kutekana, watanzania hatutaki tena kuona mtu anapigwa risasi MCHANA kweupe maeneo ya bunge.

Mama endelea kuliunganisha Taifa, hii ni nchi ya watu wote na wala sio nchi ya watu flani.

Msimpangie Rais mwacheni apange timu yake.

Najua haya yote ni kwa ajili ya Januari Makamba, sababu mnamwogopa kwa kuwa kawazidi kielimu, kifikra, Hekima, nidhamu.

Wacha iendelee kunyesha ili tuone panapovuja
 
Waliozoea vitamu vitamu wanalialia enzi yenu imepita. Unasikia mtu anasema wananchi hawana furaha, sasa wewe ndio mwananchi? utasikia mwingine wanasema sisi watu wa kanda ya Ziwa hutufurahi. Mlilishwa matango pori na mwendazake mkadhani nchi hii ni yenu peke yenu. Tulia dawa iingie. Mama Rais songa mbele kubadili serikali yako ondoa makando kando ya mwendazake weka Serikali yako itakayo kuheshimu na kuipeleka nchi mbele.
 
Yote yafanyike ila utu na uhai wa mwanadamu uheshimiwe, ulindwe.
Mama pambana na safisha makundi yote maovu, watanzania hatutaki kusikia tena mambo ya kutekana, watanzania hatutaki tena kuona mtu anapigwa risasi MCHANA kweupe maeneo ya bunge.

Mama endelea kuliunganisha Taifa, hii ni nchi ya watu wote na wala sio nchi ya watu flani.

Msimpangie Rais mwacheni apange timu yake.

Najua haya yote ni kwa ajili ya Januari Makamba, sababu mnamwogopa kwa kuwa kawazidi kielimu, kifikra, Hekima, nidhamu.

Wacha iendelee kunyesha ili tuone panapovuja
Anachofanya ndo analigawa Taifa kabisa,ni mawazo yangu tu,na nyie wapiga zumari ndo mnampoteza kabisa
 
Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.

Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).

Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.

Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!

Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.

Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.

Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.

Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasisubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.

Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.

Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
Je unaowanyooshea kidole cha lawama,haijawezekana kuthibitisha tuhuma zao muda wote huo,vipi ukapitishwa hatua walizopita he utachomoka?au nafasi walizozipata ulishahili wewe?
 
Sukuma Gang bado wanatapatapa tu, kama vile wanaamka kwenye ndoto na kulala upya hahaaaa, utafikiri mmekabwa na majinamizi!!😂😂😂

Mama SAMIA hapo lazima ikifika 2030, tumpe mikumi tena, awe anapenda au hapendi, tutamlazimisha

Hapo Vipi,, mkuki kwa nguruwe mtamu eeh😂😂
 
Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.

Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).

Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.

Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!

Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.

Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.

Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.

Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasisubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.

Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.

Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
Hapo mnazidi kumpoteza dira mazima; ukiwaweka pembeni waliopatikana bila mchango wake atawapata wapi wengine nje ya kapu kama sio kutaka kuleta chepe lenye mchanga wa awamu zilizopita au kujaza kutoka visiwani.......kwa namna Tanzania ilivyo miaka minne kwa kiongozi aliyejitoa kutumika kwa ajili ya wengine ataiona ni muda mrefu na wenye mateso lakini kama ni kwa faida binafsi matarajio na tamaa zitzidi sana na hatimaye kuna ajali mbaya itatokea
 
Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.

Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).

Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.

Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!

Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.

Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.

Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.

Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasisubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.

Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.

Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
Sikubaliani nawe Mkuu.Awe nao tu ili awabane na kuwajua zaidi.Keep your friends close.But keep your enemies even closer.
 
Back
Top Bottom