comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,210
- 5,935
unavuja jasho gani hali umegoma na unakwepa kulipa toto la miamala. Katika hizo zinazoibiwa wewe zako ngapi?Sawa mkuu,maana wewe ni mzungu wa ulaya huusiki na nchi hii,sisi wananchi wavuja jasho hatutokoma kukemea maana amani ya nchi hii inalindwa na wasema kweli tu na si wanafiki