fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,165
- 3,655
Kila mtu anajionea jinsi lile kundi ambalo lilinyooshewa vidole awamu ya nne likirudi KWA kasi ndani ya serikali,na wanawekana taratbu KWA kuamini watu hawana akili bado wapo enzi za nyerere,Tena wengine walichafuka KWA tuhuma kubwa humu mitandaoni hata leo unaweza andika na kuletewa tuhuma kamili.
Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).
Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.
Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!
Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.
Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.
Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.
Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasisubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.
Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.
Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.
Ajabu watu wanafurahi na kujenga hoja nyepesi sana,eti watu wale waliotuhumiwa ufisadi na wengine kwenda jela,eti hawajapelekwa mahakamani muda wote so Wana haki kuachiwa,Hivi mnawajua vizuri wezi wa kalamu wanavyojipanga kimbinu in any case wasijekukamatwa kisheria?(Wenyewe wanaita uwizi wa kisomi).
Now wameachiwa hata walioonyesha dalili za wazi kuna michezo ilifanyika cc Rugemalila aliyekataa kurudisha fedha mpaka viongozi aliowapa hela nao warudishe.
Hivi kweli mama leo wakukutetea na kukusifia ni kina; TIBAIJUKA,DIALLO,CHENGE,RIZI,NAPE na wenye skendo nyinginyingi!
Leo hii kila mtu anajua wizara zitaendelea kubadilishwa na kuchomekwa wale mabwana/genge lile taratibu taratibu.
Kwako mama samia,wewe ndiyo Rais wa nchi hii KWA mujibu wa katiba,Wewe una uwezo mkubwa kutengeneza historia yako kama Rais kamili na mwenye kujijenga binafsi huku ukiepuka makando kando ya watangulizi wako,Mama huku mtaani ukweli watu imani imewatoka sana kulingana na muundo wa serikali yako hii Sasa ambayo waliotuhumiwa Kabla ya mtangulizi wako na hata baada yake kuingia madarakani wamekua ndo image yako Sasa.
Mama utaendelea kuharbu image yako KWA wananchi Hawa ambao ni wazi hata ukiwastua toka usingizini na kuwaomba wakupe list wanakupa majina ya hilo genge ambalo limeanza kuteuana na kusifia KWA nguvu kubwa.
Sioni mwisho mzuri wa uongozi wako maana hata KWA sura tu raia wanaonekana huenda wasisubiri tena uchaguzi bali wataweka historia yao.
Ushauri wangu kwako twende taratbu mama,umiza akili kuunda serikali yako mpyaaaaa kabisaa achana na hayo magenge,watakupa tabu ya kuwarudia wananchi.
Nakushauri KWA kuzingatia yanayoendelea TZ hii,Ahsante.