Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
Haki sawa itaumiza wanawake zaidi kuliko wanaume...ni wanawake wachache tena wasomi na wenye uwezo ndio wanaweza kufaidi haki sawa.Mambo yamebadilika, mnataka haki sawa
Kubwa sana, uwezo wa Chief unatia mashaka. Ana wasi wasi sana wa kudharauliwa, inaonekana Jiwe alikuwa anamdharau sana Chief.Inaonekana ana inferiority complex
Yuko sahihi kabisa.Mama Samia Leo nimeona umekosea tena Jambo ambalo umekuwa ukilikosea toka mwanzo.
Ma Samia wewe ni Rais wa JMT, hivyo jinsia, ukabila, dini au rangi uliyo nayo haina uhusiano na urais wako...
Ameshakuwa TOP hakuna wa "nyeenyee".....Kubwa sana, uwezo wa Chief unatia mashaka. Ana wasi wasi sana wa kudharauliwa, inaonekana Jiwe alikuwa anamdharau sana Chief.
Kubwa sana, uwezo wa Chief unatia mashaka. Ana wasi wasi sana wa kudharauliwa, inaonekana Jiwe alikuwa anamdharau sana Chief.
Kupiga magoti hata mwanamke hapigi magoti, na sidhani kama hiyo ni hoja. Hoja ni kumheshimu au kumdharau, mbona wanaume wengi tu wanamheshimu Chief nikiwemo mimi, ila kwa huu wasi wasi wake wa kuwa anadharauliwa, naweza hisi kabisa Jiwe alimdharau sana kumuondolea uwezo wa kujiamini.Hakuna mwanaume hua anamuheshimu kiongozi mwanamke hua tunakaa kimya tu huo ndio ukweli, mwanaume kumpigia magote mwanamke uliona wapi wewe hilo
Kamuulize Sitta kilichomkuta enzihizo Makinda anachukua kiti.
Alitamani kubadili jinsia.
Unafiki ni janga jiwe walivo kuwa hawampendi eti Leo kawa mzuri, nilichojifunza duniani huwezi kufuraisha wote bora tu uwe katili ka jiwe, pia Kuna watu huwa pinga pinga sanaLooo, yaani leo mmeanza kulikumbuka jiwe!!!, lilipokuwepo mlililaani kwamba halifai.
Sasa kama wewe binafsi unasema Jiwe alikuwa katili, unaweza kudhani watu wote watampenda mtu katili na dhalili? Unajichanganya kwenye statement yako.Unafiki ni janga jiwe walivo kuwa hawampendi eti Leo kawa mzuri, nilichojifunza duniani huwezi kufuraisha wote bora tu uwe katili ka jiwe, pia Kuna watu huwa pinga pinga sana
Anajua atatumia UMagufuli kushinda uchaguzi. Team Mahela itaimarishwa zaidi kuhakikisha anadhinda tena kwa kishindo.Kama hafai na kwa sababu katiba iliyopo haitoi nafasi ya kumwajibisha basi ni bora endelee tu kufanya makosa hayo ya wazi wazi ili kudhihirisha udhaifu wake ili ikifika 2025 CCM yake na wananchi kwa ujumla wawe wameshamchoka mazima.
Alikuwa katili flani heri Samia mara elfu yuko fair mnaleta chokochoko mkinyooshwa mwatukana Sasa which Is which mkuu.Sasa kama wewe binafsi unasema Jiwe alikuwa katili, unaweza kudhani watu wote watampenda mtu katili na dhalili? Unajichanganya kwenye statement yako.
Cariha mama ukiwa unaongoza binadamu unatakiwa kukubali kuwa kuna challenges na sio kuwa maamuzi yote utakayotoa utashangiliwa, unaweza shangiliwa na wengi kwa maamuzi mabovu.Alikuwa katili flani heri Samia mara elfu yuko fair mnaleta chokochoko mkinyooshwa mwatukana Sasa which Is which mkuu.
Nakubaliana na wewe raisi na amiri jeshi mkuu kusimama na kuongea mipasho kama ile ni aibu kwa taifa.... Hapa tumepigwa vibayaKama Taifa tumepigwa.
Nchi imekua ya kike mnoo.
Dikteta kichaa muuaji, hamna wakumkumbuka,Magufuri alikuwa bora sana, uwezi kulinganisha Magufuri na takataka, Rais gani ambaye hajiamini pamoja na kuwa na majeshi yote,kila siku ni kujificha kwenye jinsia, it's shame
The Law of War will determine the political fate of the countryShe is NOT presidential material to be given second chance to lead this great nation,