Anapaswa kufanya makubwa mengi, alafu ndio ajikite na uraisi 2025 na watu watamchagua.
Ila miezi sita tu tayati ashaanza kuwaza 2025
Unataka kuniambia aliposema wanawake ni pamoja na wanaume wa CCM?Kwani CCM hakuna wanaume ambao tutampigia kura mh.kipenzi chetu chifu Hangaya?!!!
SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA aaamin
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Kufa kufaanaKuwa Rais kwa kudra za Mungu anamaanisha nini?
Wanatuonea wanaume, niubaguzi sometmzMama Samia Leo nimeona umekosea tena Jambo ambalo umekuwa ukilikosea toka mwanzo.
Ma Samia wewe ni Rais wa JMT, hivyo jinsia, ukabila, dini au rangi uliyo nayo haina uhusiano na urais wako...
Hamna kura tena siku izi ni wizi wa kura tu ndo wanacho kijuaBinafsi simpi kura yangu!
Yuko sahihi kabisa.
Mh.Rais anavunjavunja MAKUNDI KOKO ya kisiasa ndani ya CHAMA.
...