Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Habari za kushinda wakuu, najua mnaenda kunipinga kwa 91% ya ninachoongelea hapa.
Lakini itoshe kuongea na 9% itakayo nipa nguvu katika hili.
Mama Samia aliaminiwa na Magufuli hivyo akapewa nafasi aliyonayo, na kipindi hicho mama alifanya kazi na wateuliwa wa Magufuli.
Je, swala la mama kubadili wateuliwa wa Magufuli na kuwaweka kitengo tofauti. Je, mama hana imani nao?
Tanzania tusiwe wanafiki, maendeleo hayana chama.
Karibu wakuu
Lakini itoshe kuongea na 9% itakayo nipa nguvu katika hili.
Mama Samia aliaminiwa na Magufuli hivyo akapewa nafasi aliyonayo, na kipindi hicho mama alifanya kazi na wateuliwa wa Magufuli.
Je, swala la mama kubadili wateuliwa wa Magufuli na kuwaweka kitengo tofauti. Je, mama hana imani nao?
Tanzania tusiwe wanafiki, maendeleo hayana chama.
Karibu wakuu