Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,480
- 9,241
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kubadilika kwa kutambua kwamba Ajira ndiyo nguzo ya Maisha hasa ukiwa sekta binafsi hata Serikalini huku akiongoza "sekta binafsi ukizubaa nafasi yako inachukuliwa".
Amefafanua "Nilishawahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, wakati ule kesi nyingi nilizokuwa nikipokea ni uzembe, kutokuwa na nidhamu sehemu za kazi, umefiwa na shangazi wa shangazi yako unakwenda kuzika bila kutoa taarifa".
Ameyasema hayo akiwa kwenye uzinduzi wa Kiwanda cha Nguo cha Basra Textile Mills Limited Visiwani #Zanzibar. Kiwanda hicho kinachotarajiwa kuzalisha Nguo siku za usoni, kwa sasa kinazalisha vitambaa tu.
Amefafanua "Nilishawahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Zanzibar, wakati ule kesi nyingi nilizokuwa nikipokea ni uzembe, kutokuwa na nidhamu sehemu za kazi, umefiwa na shangazi wa shangazi yako unakwenda kuzika bila kutoa taarifa".
Ameyasema hayo akiwa kwenye uzinduzi wa Kiwanda cha Nguo cha Basra Textile Mills Limited Visiwani #Zanzibar. Kiwanda hicho kinachotarajiwa kuzalisha Nguo siku za usoni, kwa sasa kinazalisha vitambaa tu.