Rais Samia: Tutanunua sukari kutoka Uganda

Zamani nilidhani ukipelekwa au ukihamishiwa wizara ya kilimo na uvuvi na ufugaji kama wazir umekomolewa. Nimekuja kujuwa hii wizara ni nzuri sana kwenye deal na upigaji. Hela ipo unaweza kupiga hela ndefu sana.

Wizara ya hovyo ambayo ukipangiwa kama waziri ni ya habari na michezo. Utambulia tu kuendeshwa kwenye viyoyoz ma V8 GX.
Kakudanganya nani michezo kuna betting kamari huko kuna hela hatari
 
Sasa kuna viwanda gani Bongo vya kulinda aisee?Acha leseni zitolewe Mangi apige hela ndefu MAZOMBIE wapate sukari ya kutosha. Kila leseni Mangi na 'wariayee' wahakikishe wana 10% percent yao.

No Mercy kwa MAZOMBIE!
Siyo viwanda tu wanalinda wakulima wa miwa tz
 
ila Mama kuna mambo fulani ameyafanya, ki ujumla nna Imani nae sana, hata kwa hili la sukari naamini ana taarifa sahihi za kufanya hayo maamuzi
 
Wenzake wanapozuia kuagiza maana yake ni kulinda viwanda vya ndani.

Ila kwa ardhi iliyopo Tanzania hatukutakiwa kuagiza nje sukari, ngano, mafuta ya kupikia nk. Ni kwa vile tu Mungu alituumba bila ubongo.
Vikiwepo vya ndani tu sukari inapanda bei, tena wanapandisha makusudi kwa kupanga kwa pamoja. Ila watu wakiruhusiwa kuleta kutoka nje, ndio vya ndani na wao wataona wauze kwa bei iliokuwa sawa. Cement inatoka Dubai/Omani inauzwa bei sawa na inayozalishwa hapa au saa nyingine ni rahisi kuliko ya hapo Tanga.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itanunua sukari kutoka Uganda baada ya Rais Museveni kuomba suala hilo.

Aidha Rais amesema kauli ya Waziri kusema hatotoa kibali cha kununua sukari nje ya nchi ni 'Nonsense'

Ameyasema hayo katika kongamano la biashara kati ya Tanzania na Uganda.

images

Leo hii kuna mtu kanipa taarifa kuhusu Rais Samia kasimama pale Mbagala na kusema "Mbagala oyee!" Lakini hakuna aliyeitikia.
Inasemekana machingas wamekasirika.
Kwanza Rais uamuzi Juu wa kujaribu kuweka miji yetu sawa, ni jambo zuri linastahili kupongezwa
Nasema asitetereke in uamuzi mzuri sana.
Nadhani kuna magonjwa mengi ambayo tunayapata kwa uchafu wa kuweka chakula barabara na kukiuza. Haijalishi kibichi au kilichopikwa kiko wazi tu. MTU akinunua ni kupeleka mdomoni.
Mazingira maalum ya biashara ni mhuimu kwa kila mji. Mji gani unakuwa hauna utaratibu. Kazi ya serikali ni kupanga mji (watu wake inavyostahili)
Wananchi tubadilike hata kama tumeumizwa lakini ni jambo la kujali wananchi na afya zao na usalama pia.
Ukisimamia jambo jema wengi watakupinga, hata wenzako. Tena watakitumia hicho kujiweka. Mwanasiasa ye yote anachochea Machingas wafanya biashara kiholela hiyo kafilisika kisiasa hata kiutu. Anataka apate vya tumbo lake.
Kigali in mji msafi Afrika Mashariki, lakini haikuwa rahisi Warwanda walikasirika kuwaondoa barabarani, sasa wamezoea wanaona faida yake.
Mama simamia jambo, cheo ni dhamana, unachojua ni kizuri heri ukisimamia kwa moyo wote
Ifanyike kampeni maalum kuwaelimisha machingas na watu juu ya madhara yake. Tafiti zifanyike kuhusu jambo hili
 
Na wengi ni mashareholder WA hvyo viwanda wanataka kuwahadahaa watanzania kwakutengeneza chuki na raisi wao,mama Samia yupo sahihi Sana kwel ni upuuzi uliotukuka unalinda ufedhuli kila kukicha watz wanalia na haya mabei ya sukari na viwanda tunavyo vya kutosha halafu unakuja ongea nn.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Samahan lkin jaman ivi anaetetea tusiagize Sukari anakaa Tanzania au maana sisi uku mikoan watu tunanunua sukari kg 2,700 ad 3,000 kwa kilo moja sasa ivyo viwanda vya ndani vimetusaidia nn na tunalinda viwanda vya ndani kwa maslai ya nan

Watetezi weng ni wafuasi wa Jiwe mnalazimisha kuenzi mambo yake sio mbaya ni haki yenu
 
Waziri si kagoma, msimamo ni kwamba tulinde uwekezaji uliokwisha fanyika kwa viwanda vyetu vya ndani hasa vya wazawa.
 
Back
Top Bottom