Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,187
- 42,013
Mh Rais, Bwana asifiwe!
Nimatumaini yangu wewe ni mzima wa afya na sisi Watanzania tunaendele kukuombea uendelee kuwa na afya njema. Mh Rais wewe umeonesha wazi ni mpenda haki na ni wazi umeonesha unataka muungano ulio imara kabisa bila kujali chochote umehakikisha Wazanzibari wanapata nafasi mablimbali huku bara na bila kusahau umehakikisha Wazanzibar wananufaika na Muungano wetu.
Mimi naleta ombi moja kwako kuhakikisha unachukua hatua za kutusaidia sisi wa bara kumiliki ardhi kule Zanzibar na pia kushiriki kikamilifu kwenye serikali ya Zanzibar hasa kwenye nafsi za uteuzi kama Wazanzibar wanavyotamba kwenye nafsi za uteuzi huku bara na hii itaimarisha sana Muungano na undugu wetu.
Ni hilo tu Mh Rais.
Nimatumaini yangu wewe ni mzima wa afya na sisi Watanzania tunaendele kukuombea uendelee kuwa na afya njema. Mh Rais wewe umeonesha wazi ni mpenda haki na ni wazi umeonesha unataka muungano ulio imara kabisa bila kujali chochote umehakikisha Wazanzibari wanapata nafasi mablimbali huku bara na bila kusahau umehakikisha Wazanzibar wananufaika na Muungano wetu.
Mimi naleta ombi moja kwako kuhakikisha unachukua hatua za kutusaidia sisi wa bara kumiliki ardhi kule Zanzibar na pia kushiriki kikamilifu kwenye serikali ya Zanzibar hasa kwenye nafsi za uteuzi kama Wazanzibar wanavyotamba kwenye nafsi za uteuzi huku bara na hii itaimarisha sana Muungano na undugu wetu.
Ni hilo tu Mh Rais.