Rais Mama Samia Suluhu kwanza nikupongeze kwa kuomba kulihutubia Bunge na Mh Spika akakubalia.
Ombi langu ni kuwa sekta zote zinaosubiri kwa hamu hotuba yako hasa wafanyabiashara wakubwa na wadogo. Sekta Binafsi ni sehemu muhimu katika maendeleo ya nchi yoyote kwa sasa duniani hata China.
Pia nigeomba uzungumzie suala la kutapakaa kwa wanaojiita wamachinga mitaani hasa katika pavement za wapita kwa miguu (pedestrians). Watoto wetu, wazee kwa vijana kutokana na zahma hizo wanapita barabarani kabisa,matokeo yake wanagongwa na magari,bodaboda na bajaji.
Hawa machinga wawekewe sehemu za kufanyia biashara.Mfano nchi ya Tunisia wamewaekea kila kitongoji sehemu ya machinga. Sie tunaweza kuiga kwa wataalam wetu mikoani kuwaandalia maeneo maalum. Mfano Dar ilala kuwe na sehemu kubwa ambapo wote watakuwepo, utapata kila kitu hapo.
Hayo ni maoni yangu kutokana na kutembelea nchi mbalimbali. Kifupi masoko haya yana wauzaji wa vyakula,nguo n.k mpaka vipuri vya magari utapata huko lakini mitaa yote nadhifu na salama.
Ombi langu ni kuwa sekta zote zinaosubiri kwa hamu hotuba yako hasa wafanyabiashara wakubwa na wadogo. Sekta Binafsi ni sehemu muhimu katika maendeleo ya nchi yoyote kwa sasa duniani hata China.
Pia nigeomba uzungumzie suala la kutapakaa kwa wanaojiita wamachinga mitaani hasa katika pavement za wapita kwa miguu (pedestrians). Watoto wetu, wazee kwa vijana kutokana na zahma hizo wanapita barabarani kabisa,matokeo yake wanagongwa na magari,bodaboda na bajaji.
Hawa machinga wawekewe sehemu za kufanyia biashara.Mfano nchi ya Tunisia wamewaekea kila kitongoji sehemu ya machinga. Sie tunaweza kuiga kwa wataalam wetu mikoani kuwaandalia maeneo maalum. Mfano Dar ilala kuwe na sehemu kubwa ambapo wote watakuwepo, utapata kila kitu hapo.
Hayo ni maoni yangu kutokana na kutembelea nchi mbalimbali. Kifupi masoko haya yana wauzaji wa vyakula,nguo n.k mpaka vipuri vya magari utapata huko lakini mitaa yote nadhifu na salama.