Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,723
- 2,006
Nasikia wamejaa Dodoma huko ni shida,kuzdti mambo warejee tenaNi kweli poti. Wakurugenzi wamejaa makada hata taratibu za kiutumishi hawazijui. Mwendazake ameharibu sana nchii hii
Nasikia wamejaa Dodoma huko ni shida,kuzdti mambo warejee tenaNi kweli poti. Wakurugenzi wamejaa makada hata taratibu za kiutumishi hawazijui. Mwendazake ameharibu sana nchii hii
Sikumaanisha atavunja sheria, lah hasha atafuata sheria zinazompa mamlaka ya kuchagua nje ya box kama JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power 🙏, amen🙏)!Mamlaka ya Rais hata wewe hujui ni kwamba anapaswa kufuata Sheria za nchi
Nyerere alisema katiba tuliyo nayo akipewa nchi kichaa hamna rangi tutaacha ona. Na kweli akapewa kichaa nchi ila bahati nzuri Mungu ni fundi mkweli na hafanyi makosa.Subiri mshtuko! Mamlaka aliyonayo rais wetu hayamfungi hivyo akiamua vinginevyo!
Subiri mshtuko! Mamlaka aliyonayo rais wetu hayamfungi hivyo akiamua vinginevyo!
Hata hapumziki saivi anaongoza AngelsSikumaanisha atavunja sheria, lah hasha atafuata sheria zinazompa mamlaka ya kuchagua nje ya box kama JPM (may his precious soul rest in eternal peace and power , amen)!
Uteuzi uzingatie uwezo wa kuongoza familia zao pia.Ilikuwa taratibu za kiutumishi kwamba vyeo vya kiutendaji wa kiserikali kama Katibu Wakuu wa Wiraza na Naibu wao, Katibu Tawala wa Mkoa na Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri ya Jiji, Manispaa, Wilaya na Miji kuwa ni Watendaji Wakuu au Waandamizi wa Utumishi wa Umma na sio wanachama wa vyama vya Siasa.
Kwa hiyo tunategemea "mkeka" ujao hautakuwa na MAKADA au wanasiasa wa chama chochote cha siasa, maana umeamua kufuata Katiba na Sheria.
Nikutakie uteuzi mwema mama usinisahau na mimi
Kumbuka kufuata Sheria ya Utumishi wa Umaa Sura 298 Marejeo ya Mwaka 2009.
we mkuu bhanaUteuzi uzingatie uwezo wa kuongoza familia zao pia.
Ni fedhea kuona mteuliwa hakubaliki hata na watoto wake