EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Ilikuwa taratibu za kiutumishi kwamba vyeo vya kiutendaji wa kiserikali kama Katibu Wakuu wa Wiraza na Naibu wao, Katibu Tawala wa Mkoa na Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri ya Jiji, Manispaa, Wilaya na Miji kuwa ni Watendaji Wakuu au Waandamizi wa Utumishi wa Umma na sio wanachama wa vyama vya Siasa.
Kwa hiyo tunategemea "mkeka" ujao hautakuwa na MAKADA au wanasiasa wa chama chochote cha siasa, maana umeamua kufuata Katiba na Sheria.
Nikutakie uteuzi mwema mama usinisahau na mimi
Kumbuka kufuata Sheria ya Utumishi wa Umaa Sura 298 Marejeo ya Mwaka 2009.
Kwa hiyo tunategemea "mkeka" ujao hautakuwa na MAKADA au wanasiasa wa chama chochote cha siasa, maana umeamua kufuata Katiba na Sheria.
Nikutakie uteuzi mwema mama usinisahau na mimi
Kumbuka kufuata Sheria ya Utumishi wa Umaa Sura 298 Marejeo ya Mwaka 2009.