Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Yeye ndiye rais wa JMT wa awamu ya sita. Wakimbiaji subirini michuano ya olimpiki mpokezane vijiti.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Yeye ndiye rais wa JMT wa awamu ya sita. Wakimbiaji subirini michuano ya olimpiki mpokezane vijiti.
Tunaokupenda tunakwambia ukweli mapema. Umepokea tu kijiti.
Inashangaza sana uko bize na teua tengua teua tengu.
Mbio yenu inaisha 2025.
Tatua kero alizoziacha uliyempokea kijiti.
Swaga za kukabidhiana magari na majumba sisi hazituhusu.
Na tunafuatilia kwa kina juu ya kuahirishwa kwa mechi ya watani wa jadi kama ulikua na mkono wako hapooo...
Maliza mbio
sukuma gangMama kaanza kudemka mapema mno jaman , kuna mambo mengi sana ya muhimu angeanza kufanya kabla ya kuanza kupeana zawadi na safari zisizokua na mbele wala nyuma
Yani mi naumia nalipa kodi hat ATCL sijawah kupanda ye Mama kila siku yuko angani tu utadhan ndege za Baba ake mxieww
The gangHiyo awamu ya sita kachaguliwa kwa uchaguzi upi?. Waache kuzuga watu, wapo awamu ya tano kipindi cha pili full stop 🛑.
Mama kaanza kudemka mapema mno jaman , kuna mambo mengi sana ya muhimu angeanza kufanya kabla ya kuanza kupeana zawadi na safari zisizokua na mbele wala nyuma
Yani mi naumia nalipa kodi hat ATCL sijawah kupanda ye Mama kila siku yuko angani tu utadhan ndege za Baba ake mxieww
Alikua mwamba kwako wengine hakuwa mwambaSSH amepokea kijiti toka kwa mwamba Mzee baba JPM aliyekua machine kweli kweli lazima gap lake lionekane.....
Atabaki kuwa shujaa na rais wa karne
Alikua mwamba kwako wengine hakuwa mwamba
Ule nao ulikua uchaguzi? ebu tupishe kuleNi sawa, hata mimi najua alikua mwamba kwa watanzania 84%.
Nyie 16% rais wenu yuko ubelgiji
Tunalifahamu hilo pole sana..je wewe ni muhanga wa vyeti feki, ubadhirifu wa mali ya umma ama uwekezaji usio kuwa na tija?...anyway it is what it is ...ride with the waves, naamini alifanya kwa ajili ya manufaa ya wengiAlikua mwamba kwako wengine hakuwa mwamba
nisikujibu tu nikapata dhambiKatafute unasubiri nani akuwekee!
Mbona unazo nyingi tu...nisikujibu tu nikapata dhambi
But ni Rais tayari na mwenyekiti, hivyo bas mkae kwa kutulia maana hakuna jinsi ya kumrudisha tena ndo kashaondoka. Muacheni kumtajataja mwendazake kashatangulia na era yake imetoweka kama mshumaa!Tunaokupenda tunakwambia ukweli mapema. Umepokea tu kijiti.
Inashangaza sana uko bize na teua tengua teua tengu.
Mbio yenu inaisha 2025.
Tatua kero alizoziacha uliyempokea kijiti.
Swaga za kukabidhiana magari na majumba sisi hazituhusu.
Na tunafuatilia kwa kina juu ya kuahirishwa kwa mechi ya watani wa jadi kama ulikua na mkono wako hapooo...
Maliza mbio.
2026 tuna wakimbiaji wapya.
Yaan wanakereka na hii kauli 🤣🤣🤣🤣, hawaamin kilichotokea kbs.Ataka asitake mama samia tutamlazimisha tu aendelee kuongoza had 2040 huko hadi achoke mwenyewe.
Mama kaanza kudemka mapema mno jaman , kuna mambo mengi sana ya muhimu angeanza kufanya kabla ya kuanza kupeana zawadi na safari zisizokua na mbele wala nyuma
Yani mi naumia nalipa kodi hat ATCL sijawah kupanda ye Mama kila siku yuko angani tu utadhan ndege za Baba ake mxieww
Hiyo kazi anayoifanya sisi ndo maboss zake, hivyo afuate instruction akae kwa ktulia, upo nyonyo ?
Mimi mhanga wa ukabila,ukanda,Undugu,ukaidi na ujeuriTunalifahamu hilo pole sana..je wewe ni muhanga wa vyeti feki, ubadhirifu wa mali ya umma ama uwekezaji usio kuwa na tija?...anyway it is what it is ...ride with the waves, naamini alifanya kwa ajili ya manufaa ya wengi
Mkabila,mkanda,mbaguzi, hao 84% nidyo wako chato kwenye uwanja wa ndege, mbuga ya wanyama ya kulazimisha kila kitu chato kweli ndiyo wapo hao watanzania 84% tutamkumbuka kama ndiyo rais wa hovyo kuwahi kutokea ktk nchi hiiNi sawa, hata mimi najua alikua mwamba kwa watanzania 84%.
Nyie 16% rais wenu yuko ubelgiji🙄🙄