KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Unataka akwambie mara ngapi mkuu, alikwishasema yeye yupo "Awamu ya Sita", hayo ya awamu ya tano yaliishia hapo alipoondoka Mwenda zake.Tunaokupenda tunakwambia ukweli mapema. Umepokea tu kijiti.
Inashangaza sana uko bize na teua tengua teua tengu...
Mbio yenu inaisha 2025...
Tatua kero alizoziacha uliyempokea kijiti...
Swaga za kukabidhiana magari na majumba sisi hazituhusu.
Na tunafuatilia kwa kina juu ya kuahirishwa kwa mechi ya watani wa jadi kama ulikua na mkono wako hapooo...
Maliza mbio...
2026 tuna wakimbiaji wapya.
Kuna kauli iliyo wazi zaidi ya hiyo aliyokwishaitamka?