inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,907
- 18,174
Ungekua we serikali ungepata wapi hela nje ya kukamua wananchi na mikopo?Nje ya tozo na kuomba hakuna unachokiona umasikini wa fikra mbaya sana;
Ungekua we serikali ungepata wapi hela nje ya kukamua wananchi na mikopo?Nje ya tozo na kuomba hakuna unachokiona umasikini wa fikra mbaya sana;
Tanzania karibu yote imeunganishwa kwa barabara ya lami, hiyo ni kazi ya awamu ya nne, Stendi nyingi za kisasa zimejengwa, hiyo ni kazi ya awamu ya tano, Muacheni Mama samia naye afanye yake ndio kwanza ana miezi sita tu, ana kazi ya kumalia stigler, SGR na madaraja kibao, hawezi maliza hivyo vitu bila mikopo. Magufuli kakopa lkn hivyo nilivyovitaja hakuna hata kimoja ambacho kimefika hata 50% ya ujenzi, so samia ana kazi ngumu zaidiKatika miaka kumi ya utawala wa awamu ya nne, kwa taarifa hiyo, deni liliongezeka kwa $ 11 bilioni. Swali la kujiuliza "hilo deni lilitumika kufanya nini?" Vivyo hivyo tujiulize deni, katika utawala wa awamu ya tano, liliongezeka maradufu ($12 bilioni), ndani ya miaka 5, limetumikaje? Je, awamu ya sita tunakopa kwa ajili ya nini?
Magufuli alikopa kuliko kikweteDah!! Magufuli alitufanya tuwe Proud sana na nchi yetu.. sasa huyu ametugeuza kuwa ombaomba.. maisha yanaenda kasi sana..
Awamu ya 5 hawakufanya lolote zaidi ya majisifu tu .
Miradi mingi ilikuwa ni ya awamu ya mh Kikwete.
Kwani mwenye uamuzi wa kutoa fedha za miradi ni waziri au rais?Mimi nakuambia huyo Mkwere fisadi ujenzi asingekuwa waziri Magufuli asingefanya lelote!
Lkn bado mazuzu wanapiga makofi na vigeregereMiaka 60 baada ya uhuru
Sasa wewe mbona unakuwa kama kasuku?Alisimamia nani huo ujenzi? Mkwere alikuwa nazurula tu!
Usinilazimishe kukubali ugoro wako.Nshakwambia Mmawia, huwa unaacomment pasipo kutumia medula oblangata yako Daah over umetoka klabu ya kimpumu au unatumia sigara kubwa,stop it ukimya nao ni busara
Acha propaganda za kijinga..Ttcl wamefirisika sasahivi
Kipindi kile, TTCL walikuwa wanatoa GAWIO
You know nothing Kimla ! Unajua hiyo 1.6T ni kiasi gani kinaenda kuhudumia deni la taifa kila mwezi, unajua wage bill ya serikali kila mwezi? Mkuu fahamu tu uchumi wetu ni mdogo sana ndio maana tumekopeshwa kiasi cha 1.2T kutoka IMF nchi yote inashangilia. Umejiuliza swali kwanini tinashangilia mkopo wa 1.2 T wakati kila mwezi tunakusanya zaidi ya hiyo?Lakini hivi kijenga sten yq billion 20 tunashindwa hadi tukqombe mkopo wakati makusanyo ni trillion 1.6 mwa mwezi
Pole sanaBasi kikundi cha mzoga kimejikusanya humu cheki kama huyu
Ungekua we serikali ungepata wapi hela nje ya kukamua wananchi na mikopo?
We hukuwahi kupata tetesi ya kupotea trilioni moja?Tueleze dola bilioni 11 zilitumikaje na dola bilioni 12 zikitumikaje.
Kumbuka wakati wa bilioni 11 tetesi za akaunti za nje zilizoficha fedha za mangumashi zilikuwa nyingi, lakini wakati wa bilioni 12 hizi tetesi mbona hatuzisikii?
====
Acheni kufukua makabuli.
Ccm wataiangamiza hii nchi.Ni ajabu kweli alafu wabongo wenye akili fupi wameridhika kabisa kwamba kuomba omba ni sehemu ya haki yetu ama maisha yetu
Nawaonea huruma sana aisee.....Pole sana
Kuongoza chama tu utata mkubwa, mtaweza watu milioni 60?Usiseme unatamani wakati mnaibaga kura kila wakati. Acheni kuibakura muone tutakavyowaonesha uongozi ulio makini
Matusi yanasaidia kitu gani?Mpk 2040 ya nyokololo muone
Tozo zinafurahiwa na watu wasiyo na matumizi ya miamala kama wewe.Na tozo ulipinga,we ni shetani,tozo hutaki na kukopa hutaki
FactSina takwimu Ila barabara nyingi za lami na madaraja Ni kipindi Cha JK. Kuliko awamu zote kwa uwiano.