TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Mshiko tunachukua WB na IMF, hawana hizo hawa....(siyo mazuri ujue).Muda utafika wachina watatufanya mateka
Mshiko tunachukua WB na IMF, hawana hizo hawa....(siyo mazuri ujue).Muda utafika wachina watatufanya mateka
Wakianza kuuza rubondo na lunch ya kitengule msianze kulialia.Mshiko tunachukua WB na IMF, hawana hizo hawa....(siyo mazuri ujue).
Self reliance ile inayotanguliwa na neno Ujamaa? Bulesi are you serious unataka kuturudisha kwenye failed doctrine?What happened to our self reliance philosophy? Nchi omba omba haiwezi kuheshimiwa; we should do away with the mkwere dependency syndrome!!!
Nimekupata mkuu.Wakianza kuuza rubondo na lunch ya kitengule msianze kulialia.
Mimi nipo mkojani nakula rojorojoo
NakubaliNimekupata mkuu.
Hamkuzoea kuambiwa ukweliAkiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
____________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini.
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri, na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi.
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia.
Mpaka stendi tunaomba hela?
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela?
Nimesikitika kupita maelezo. Tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo.
Hapana siseme turudi kwenye ujamaa ila tuwe na mindset ya kutumia human and natural resources zenu diligently to achieve our goals badala ya kutegemea handouts!!! Kuna nchi duniani hazina utajiri kama tulionao lakini wametumia their natural endowments kujipatia Maendeleo makubwa. To be self reliant sio lazima uwe mjamaa!!!Self reliance ile inayotanguliwa na neno Ujamaa? Bulesi are you serious unataka kuturudisha kwenye failed doctrine?
True ile stend tungekopa word bank just imagine ile stend ndo ya gharama ya juu just for 53b yaa arusha hawezi fika hata 27b hayo si makusanyo ya halmashauri tuAkiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"
____________________________________________
Magufuli anabiringika kaburini.
Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri, na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi.
Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia.
Mpaka stendi tunaomba hela?
Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela?
Nimesikitika kupita maelezo. Tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo.
Mama ameimgia amekuta hazina imejaa ndo alizotumia kuwa promote baadhi ya watumishi .halafu elewa mkuu waajiriw wa serikali hawafiki hata laki 6 .kuwa hiyo magu anaangalia athari za uchumi kwa watanzania waliobaki just karibi 60 ml .JPM alikuwa haelewi chochote. Ndo mana alikuwa anakomba hazina yote inabaki empty mpaka anakosa hela za kupandisha mishahara yawatumisi, ajira hakuna mpaka anafikia hatua ya kujazamachnga barabarani kisa ameshaona ameharibu angalau ngoja liende tu hivyohivyo.
Alifikia hatua yeye mwenyewe hajuu ashuke lipi aache lipi. Anapuyanga tu huku maisha yakiendelea kuwa magumu.
Watu wenye akiri hukopa navkukiri kuwa we ni maskini pasipo kujimwambafy wakati unajua kabisa huna lolote ila unawaumiza tu wananchi
Nina wasi wasi atakuwa alijinyonga baada ya kuona ubabe wake hauna msaada jamii inazidi kulia na kusaga meno. Sema kama huna hela wakuidie katika famulia siyo unajigamba una hel wakati watoto wako wanakufa kwa kwashiokor na hunali ilimradi unaweka heshima bar
Do ..chuki chuki ..chuki utakufa nalo mkuuAwamu ya 5 hawakufanya lolote zaidi ya majisifu tu .
Miradi mingi ilikuwa ni ya awamu ya mh Kikwete.
Kipindi cha jk unazungumzia miaka 10 .jpm ametawala kwa 5 Yr huoni tofautiSina takwimu Ila barabara nyingi za lami na madaraja Ni kipindi Cha JK. Kuliko awamu zote kwa uwiano.
Jpm alikomba hazina ikabaki empty mama anahangaikaMama ameimgia amekuta hazina imejaa ndo alizotumia kuwa promote baadhi ya watumishi .halafu elewa mkuu waajiriw wa serikali hawafiki hata laki 6 .kuwa hiyo magu anaangalia athari za uchumi kwa watanzania waliobaki just karibi 60 ml .
Ku-'survive'?Kama tuliweza kula na kunywa chini ya shetani sidhan kama kuna gumu lolote litatuweza. Hata wamweke kobe kuongoza hatuna shida. If you managed to survive under Jiwe then nothing else can defeat you.
Hata wewe utakufa na huo ulofa wako wa kuabudu mizimuDo ..chuki chuki ..chuki utakufa nalo mkuu
Mmpe heshima yake japo hatupo naye
Kama upi mfano? Kikwete aliyeshindwa kujenga hata stendi,kaacha amejenga stendi ya daradala ya mbezi 😁😀😄Awamu ya 5 hawakufanya lolote zaidi ya majisifu tu .
Miradi mingi ilikuwa ni ya awamu ya mh Kikwete.
Endelea kuabudu mizizi na kujifukizaKama upi mfano? Kikwete aliyeshindwa kujenga hata stendi,kaacha amejenga stendi ya daradala ya mbezi