SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,337
- 4,664
Mimi cha kwanza kilichonishangaza Ni hicho ila sikutaka kuhoji kama ulivyofanya nikihofia labda yalikuwa Ni makosa ya Mleta Uzi. Na kama amenukuliwa vilivyo basi tuna Kiongozi ambaye Ni JANGA.Wanaandaa mradi wa kuomba hela! Au mimi sijui kiswahili, yaani kuomba hela nako unakatengenezea mradi ili ukizipata hizo hela unazitumia kutumia kwenye mradi wa kujenga stendi!